Waziri wa Ulinzi wa Marekani kuimarisha uhusiano na India ili kuikabili China
New Delhi (CNN) WAZIRI wa Ulinzi wa Marekani anayemaliza muda wake Ash Carter jana ametua nchini India, katika jitihada zake za mwisho kuimarisha uhusiano na msharika huyo ambao unaweza kuwa muhimu katika kipindi hiki ambacho China inaanza kutoa makucha yake. Carter ametumia muda wake mwingi