JUMATATU wiki hii, Mfanyakazi wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HELSB), Esther Budili, alifikishwa mahakamani kwa tuhuma tisa za kughushi majina hewa ya wanafunzi na kisha kujipatia takriban Sh milioni 90.7
SIKU moja Dossa akanifuata Magomeni. Akasema: Leo wazee wanakutaka kwa Mzee Jumbe Tambaza. Wanakutaka usiku. Nikasema; haya, nitakuja. Nikaenda. Nikakuta wazee wameshakaa; wameniita kijana wao kuniombea dua. Mimi mkristo, wao waislamu watupu. Wakianiombea dua za ubani, tukamaliza
Nyerere na dua za Waislamu
Maoni ya Wasomaji
<p>Inauma sana kuona wenzetu kuacha chuo kisa serikali haina pesa wakati mama kama huyu anatafuna pesa za serikali.