 | Kwa nini CCM inahofia demokrasia?Lula wa Ndali-MwananzelaKING Majuto alimpenda binti wa mtaa fulani lakini alishindwa kwenda na kumwambia juu ya hisia zake hizo. Alibakia akimwangalia kwa mbali tu na kuwaza na kumfikiria....  | Songa mbele Dk. Slaa!Johnson MbwamboWIKI iliyopita kulikuwa na habari nzito katika duru za siasa Tanzania: Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk. Wilbroad Slaa alitangaza rasmi kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba, mwaka huu...
|
|
Kisa cha Malecela na mawaziri wa sasa!Maggid MjengwaHISTORIA ni mwalimu mzuri. Ili tuweze kutafsiri na kuyaelewa yanayotokea sasa na kuyaelewa yatakayotokea kesho, tuna lazima ya kuangalia na kutafsiri kilichotokea jana...  | Dk. Slaa ataamsha waliolala kwa kukata tamaaChesi MpilipiliMIMI sio mpenzi wa mchezo wa kamari lakini mwaka 2002 nilijishindia Shilingi 5,000 za bure kutoka kwa rafiki yangu wa karibu kutokana na kushinda ubishi uliohusu uchaguzi mkuu uliokuwa ukifanyika nchi jirani ya Kenya...  | Vituko vya uchaguzi vyapamba moto MbeyaFelix MwakyembeKAMPENI ndani ya vyama vya CCM na CHADEMA kwa wanachama wake kuomba ridhaa ya vyama vyao kugombea ubunge katika majimbo mbalimbali mkoani Mbeya, zimeanza kwa kishindo...  | Wizi wa kutisha NyanzaMALI mbalimbali za Chama Kikuu cha Ushirika Nyanza (NCU), mkoani Mwanza, vikiwamo viwanda, mitambo, magari na viwanja, zimeuzwa kinyemela kwa bei ya kutupwa na fedha za mauzo kupotea katika mazingira tata...
|
|
TANZANITE: Fursa iliyopotea!Julius SarotaSEHEMU nyingi nchini mtu anayeshona nguo ama mpya au kuweka viraka katika nguo za zamani, anaitwa fundi cherehani. Ulipata kujiuliza kwa nini waliitwa fundi cherehani?...  | MGOMBEA BINAFSI: Mahakama imesaliti demokrasiaJoseph MihangwaKATIKA sehemu ya kwanza ya makala hii, wiki mbili zilizopita, nilieleza jinsi Mahakama ya Rufaa ilivyojilemaza kutafsiri vyema Katiba ya nchi, Sheria ya Utekelezaji wa Haki za Msingi ...  | Majimbo sita Kagera kwenda Upinzani?Privatus KarugendoBAADA ya CHADEMA kumtangaza Dk.Slaa kuwa mgombea urais kupitia chama hicho, kuna uwezekano mkubwa majimbo sita ya uchaguzi mkoani Kagera kwenda Upinzani. Majimbo hayo ni...  |
|
|
 | Tujinufaishe kwa udhaifu wa KatibaGodfrey DilungaMMOJA wa waasisi wa dhana ya kutenganisha (kikatiba) shughuli za dini na serikali nchini Marekani, mwaka 1802, Thomas Jefferson, ambaye ni Rais wa tatu wa taifa hilo...  |
|
|