Julai 28 - Agosti 3, 2010
 
Toleo Na. 144
   Maoni ya Mhariri
Mchakato huu wa CCM uwe tanuri la kweli
KIPENGA cha kuomba kuwania ubunge na udiwani kwa tiketi ya CCM kimepulizwa lakini baada ya ‘mpira’ kuanza kumekuwa na kelele nyingi za wachezaji kuchezeana rafu. Kwa mfano habari kutoka Sumve, mkoani Mwanza, zinadai kwamba mbunge anayemaliza muda wake, Richard Ndassa alizichapa kavukavu na mgombea mwenzake Dk. Paschal Mbelule...
Dk. Slaa awataka Duni, Hamad Rashid wa CUF

Mazungumzo ya siri yaanza Dar, Zanzibar
Aaga Karatu, atoa sababu nzito za kujitosa
BAADA ya mgombea Urais kupitia CHADEMA, Dk. Wilbrod Slaa, kubadili upepo wa kisiasa nchini kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, chama hicho sasa kimo katika mkakati mahususi wa kumpata mgombea mwenza mwenye ushawishi mkubwa kutoka CUF...
 Makala

Uamuzi wa Kikwete wamliza Karume
UAMUZI wa hivi karibuni wa mgombea urais wa CCM, Jakaya Kikwete kumteua Mohamed Dk. Gharib Bilal kuwa mgombea mwenza 'umemliza' Rais Amani Karume...
 Rai ya Jenerali

Vurugu hii itatuangamiza
Jenerali Ulimwengu
WAKATI nikilalamikia misimamo inayoiumiza demokrasia nchini mwetu, mambo yamekuwa yakienda kwa kasi kubwa sana kuelekea uchaguzi wa Oktoba...
 Habari

Benki Kuu kufuta kesi hewa - Gavana Ndullu
GAVANA wa BoT, Profesa Benno Ndullu, amesema wameshaanza mchakato wa kutekeleza maagizo ya Bunge kutaka kuziondoa mahakamani kesi hewa zilizofungiliwa na benki hiyo mahakamani...
 
 
free counter

counters

 
 Makala   Makala   Makala   Makala
Karatu walipuka: Tutamfanya Dk. Slaa maajabu ya nane ya dunia
Paul Sarwatt
DUNIA inatajwa kuwa na maajabu saba! Moja ya maajabu hayo ni Kreta ya Ngorongoro ambayo imekuwa moja ya vivutio vya utalii si tu katika eneo la Afrika Mashariki bali duniani na hivyo kuiweka Tanzania katika ramani ya ulimwengu...
Kwa nini CCM inahofia demokrasia?
Lula wa Ndali-Mwananzela
KING Majuto alimpenda binti wa mtaa fulani lakini alishindwa kwenda na kumwambia juu ya hisia zake hizo. Alibakia akimwangalia kwa mbali tu na kuwaza na kumfikiria....
Songa mbele Dk. Slaa!
Johnson Mbwambo
WIKI iliyopita kulikuwa na habari nzito katika duru za siasa Tanzania: Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk. Wilbroad Slaa alitangaza rasmi kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba, mwaka huu...

 

Kisa cha Malecela na mawaziri wa sasa!
Maggid Mjengwa
HISTORIA ni mwalimu mzuri. Ili tuweze kutafsiri na kuyaelewa yanayotokea sasa na kuyaelewa yatakayotokea kesho, tuna lazima ya kuangalia na kutafsiri kilichotokea jana...
Dk. Slaa ataamsha waliolala kwa kukata tamaa
Chesi Mpilipili
MIMI sio mpenzi wa mchezo wa kamari lakini mwaka 2002 nilijishindia Shilingi 5,000 za bure kutoka kwa rafiki yangu wa karibu kutokana na kushinda ubishi uliohusu uchaguzi mkuu uliokuwa ukifanyika nchi jirani ya Kenya...
Vituko vya uchaguzi vyapamba moto Mbeya
Felix Mwakyembe
KAMPENI ndani ya vyama vya CCM na CHADEMA kwa wanachama wake kuomba ridhaa ya vyama vyao kugombea ubunge katika majimbo mbalimbali mkoani Mbeya, zimeanza kwa kishindo...
Wizi wa kutisha Nyanza
MALI mbalimbali za Chama Kikuu cha Ushirika Nyanza (NCU), mkoani Mwanza, vikiwamo viwanda, mitambo, magari na viwanja, zimeuzwa kinyemela kwa bei ya kutupwa na fedha za mauzo kupotea katika mazingira tata...

 

TANZANITE: Fursa iliyopotea!
Julius Sarota
SEHEMU nyingi nchini mtu anayeshona nguo ama mpya au kuweka viraka katika nguo za zamani, anaitwa fundi cherehani. Ulipata kujiuliza kwa nini waliitwa fundi cherehani?...
MGOMBEA BINAFSI: Mahakama imesaliti demokrasia
Joseph Mihangwa
KATIKA sehemu ya kwanza ya makala hii, wiki mbili zilizopita, nilieleza jinsi Mahakama ya Rufaa ilivyojilemaza kutafsiri vyema Katiba ya nchi, Sheria ya Utekelezaji wa Haki za Msingi ...
Majimbo sita Kagera kwenda Upinzani?
Privatus Karugendo
BAADA ya CHADEMA kumtangaza Dk.Slaa kuwa mgombea urais kupitia chama hicho, kuna uwezekano mkubwa majimbo sita ya uchaguzi mkoani Kagera kwenda Upinzani. Majimbo hayo ni...
Tufuate Azimio la Zanzibar au Azimio la Arusha?
Deusdedit Jovin
TANGU kuzaliwa kwa taifa letu, Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, alisanifu "KANUNI YA UTANZANIA", kanuni ambayo ilifafanuliwa zaidi kupitia Azimio la Arusha...

 

Chagueni wenye ari ya kupunguza tofauti za kitabaka
Mtu wa Kale
LEO, mimi na wenzangu tuliopo kuzimu ambao tunawaonea huruma kwa jinsi mlivyokwama kimaendeleo, tunapenda kuendelea kuwakumbusha matatizo yenu makuu yanayomikabili...
Tujinufaishe kwa udhaifu wa Katiba
Godfrey Dilunga
MMOJA wa waasisi wa dhana ya kutenganisha (kikatiba) shughuli za dini na serikali nchini Marekani, mwaka 1802, Thomas Jefferson, ambaye ni Rais wa tatu wa taifa hilo...
Malalamiko hayaleti mabadiliko hata siku moja!
Hidaya
Ninachoshangaa ni kwamba watu hawaoni shida kula hivyo ingawa wanajua ni kosa lakini wanaona shida sana kula kwa huyu na kutoa kura kwa yule, eti si uaminifu...