Padre Mapunda ni msomaji wa siku nyingi wa gazeti hili. Ni Padre wa Kanisa Katoliki, katika Parokia ya Manzese jijini Dar es Salaam, maarufu kama Tunda la Kanisa, kwa sasa yuko nchini Kenya kwa masuala ya kitaaluma
Maandiko 6 ya Baptiste Mapunda yanapatikana kwenye tovuti.
NAIJUA teolojia ya Kikristo inayotumika, na hivyo ninamjua adui wangu, lakini yeye hanifahamu. Kwa maana hiyo, adui yangu tayari ameshindwa vita hata kabla haijaanza.
Mchungaji Moon na teolojia
Maoni ya Wasomaji
KWA NINI WAIALAMU HAWASIKILIZWI, MAONI YAO HAYAJAPEWA NAFASI KWENYE RASIMU YA KATIBA. TUNATAKA MAPUNZIKO IJUMAA, MAHAKAMA YA KADHI NA NCHI KUJIUNGA NA OIC