NI jambo la kushangaza kidogo kwamba viongozi wetu wanaona kuwa ni kosa kuwakumbusha kuwa vyeo walivyo navyo ni dhamana. Wanadhani kuwa uwaziri ni usultani; ukishakuwa sultani utakufa ukiwa sultani. Nadhani wanaofikiria hivyo wanakosea sana
Yahya Msangi
Yahya Msangi
Mwandishi wa makala hii ni msomaji wa muda mrefu wa gazeti hili la Raia Mwema na mchangiaji mada mbalimbali gazetini humu. Ni Mtanzania anayeishi Mji wa Lome, nchini Togo, akiwa anafanyakazi katika Shirikisho la Kimataifa la Vyama vya Wafanyakazi Afrika (Organisation Re'gionale Africaine de la Confe'de'ration Syndicale Internationale (CSI - Afrique)
Maandiko 9 ya Yahya Msangi yanapatikana kwenye tovuti.
Makala
Toleo na 246
Wasomaji 2,692
Maoni 1
Makala
Toleo na 208
Wasomaji 537
Maoni 0
Walipata Kunena
-
Nyerere na wanaoringia uwaziri
Maoni ya Wasomaji
-
Kama kuna demokrasia ya haki, haipaswi mtu yeyote awe juu ya sheria . let spoon be a spoon and folk be a folk period. Katiba ya ccm inasishia hapo tutakapopata mupya.20 hours 28 minYametolewa maoni mengine 1