MASHITAKA dhidi ya mawaziri wa zamani, Basil Mramba na Daniel Yona pamoja na Katibu Mkuu wao, Gray Mgonja, yameibua hofu kubwa kwa watendaji wa sasa na wa zamani serikalini wakiwamo na hata Rai
KUTUHUMIWA kwa ufisadi na hatimaye kujiuzulu kwa Waziri wa Miundombinu, Andrew Chenge, kumefungua njia ya umma kuhoji uadilifu wa viongozi wa siasa akiwamo Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa.
KATIKA kauli ambazo zitawashitua watawala, Waziri Mkuu wa zamani, Jaji Joseph Warioba, amesema nchi ina viongozi dhaifu, umma unanyonywa, rushwa imeongezeka, wezi wa fedha za EPA waanikwe na Rai
CHAMA cha Mapinduzi (CCM), wiki iliyopita, kilipoza tuhuma zote kubwa za ufisadi zilizowagusa wanachama wake katika hatua inayotafsiriwa kuwa ni kujitoa katika vita dhidi ya uoza huo, Raia Mwema
"MKAPA kaongea !" Hicho chaweza kabisa kuwa kichwa cha habari katika moja ya magazeti yetu. Naam, katika miaka ya karibuni, Rais Mstaafu Benjamin Mkapa amekuwa kimya mno.
NAAMINI katika dini inayoamini na kuheshimu uhuru wa mtu. Muda wowote ninapojiunga na dini yoyote na kugundua kuwa hainipi uhuru wa kupigania haki za watu wangu, ninasema dini hiyo iende kuzimu!
Malcolm X na dini
Maoni ya Wasomaji
waandishi nao wanapiga kampeni badala ya kuleta habari sahihi