Muungano

Upinzani mkubwa Zanzibar kwa wenye kutaka serikali moja…

Ahmed Rajab

KWA vile Muswada wa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba umepitishwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano ya Tanzania, muswada huo utatekelezwa mara tu utapomalizika mchakato wa kuufanya uwe sheria kamili.

Hata tuyazime, maswali yale yale kuhusu Muungano yanaturejea

Jenerali Ulimwengu

HUKO nyuma nimeeleza kwamba haiwezekani kuijadili Tanzania pasipo kuujadili Muungano, na kwamba dalili za makundi ya watu kuhoji Muungano wetu kama ulivyo leo zimekuwa zikijitokeza mara kwa mara

Muungano utavunjika tukizidi kuficha kero zake

Joseph Mihangwa
KATIKA sehemu ya kwanza ya makala haya, tuliona jinsi Waasisi wa Muungano upande wa Zanzibar, wanavyojichanganya juu ya chimbuko na namna Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulivyofikiwa kudhihirisha kwamba waliburuzwa bila kujua kwa uhakika nini kilichokuwa kikifanyika

Tujadili Muungano au kukithiri kwa ufisadi?

John Bwire

NI bahati mbaya sana kwamba kila linapotokea tatizo zito la kitaifa linaloibua mjadala mzito wa Watanzania wote, kinatokea kitu kingine na kupunguza kasi ya mjadala huo.

MUUNGANO WETU: Tanganyika ilikufaje Zanzibar ikasalimika?

Joseph Mihangwa

MIAKA 46 tangu meli ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ing’oe nanga, Aprili 26, 1964 hadi sasa; bado inaendelea kuyumba kwa kusukwasukwa na mawimbi makali na kusababisha adha kubwa, kiz

Tusipoujadili muungano kwa makini, utavunjika II

Joseph Mihangwa
KATIKA sehemu ya kwanza ya makala haya toleo lililopita, tuliona jinsi Muungano wowote wa nchi uliofikiwa bila ridhaa ya wananchi unavyoweza kuvunjika kwa urahisi

Zanzibar inaishi, Tanganyika ilikufaje?

Joseph Mihangwa

NCHI yetu inaingia kwenye mchakato wa kuandika Katiba mpya. Tayari Bunge limepitisha muswada wa kuanzisha mchakato huo.

Wanasiasa wakongwe: Acheni kupotosha chimbuko la Muungano II

Joseph Mihangwa

KATIKA sehemu ya kwanza ya makala haya wiki iliyopita, tuliona jinsi juhudi za Mwalimu Julius Kambarage Nyerere za kuunda Shirikisho la kisiasa la nchi za Afrika Mashariki (EAC) zi

Kutozungumzia Muungano ni kosa kubwa zaidi la mchakato wa Katiba

Lula wa Ndali Mwananzela
GARIMOSHI la Katiba mpya linaendelea kwenda kasi na hakuna dalili ya kukoma mpaka Katiba “mpya” itakapopatikana

Pages

Subscribe to Muungano