Richmond

Vigogo wa Richmond wamhujumu Kikwete

Mwandishi Wetu

HUKU mambo yakiwa si shwari ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na Serikali, wiki hii Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard Membe, ametoboa siri kwamba tangu Rais Jakaya Kikw

Bosi wa Richmond aburuzwa kortini

Mwandishi Wetu

MKURUGENZI wa Kampuni ya Richmond Development ya Tanzania, iliyowahi kupewa zabuni ya kuagiza mitambo ya kufua umeme wa dharura nchini, Naeem Adam Gire, jana alifikishwa mahakamani  akikabiliwa n

Sakata la Richmond kulipuka upya

Mwandishi Wetu

BAADHI ya wabunge, wanasiasa na wataalamu wa sheria wanautazama uamuzi wa kumburuza mahakamani Mkurugenzi wa Kampuni ya Richmond, Naeem Gire, kwa tahadhari kubwa wakiamini kuwa kuna malengo yali

Baraza la Mawaziri la Kikwete lagawanyika

Godfrey Dilunga

BAADA ya Kamati inayoongozwa na Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi kuzungumza na wabunge wa Chama Cha Mapinduzi na kuibuka malumbano, kejeli na matusi kwenye mkutano huo, imebainika kuwa sasa mpasuko

Lowassa apambana

Waandishi Wetu
Edward Lowassa
UPEPO wa hali ya kisiasa ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) unazidi kuvuma, na sasa Edward Lowassa na Andrew Chenge, wamebanwa na wanapambana

CCM mnasemaje kuhusu Lowassa?

Msomaji Raia

WIKI iliyopita nilihoji ikiwa Edward Lowassa anadai ni msafi dhidi ya tuhuma zote ambazo amekuwa anarundikiwa, ni nani basi atakuwa msafi ndani ya CCM?

Kashfa hizi zifike ukomo

John Bwire

KATIKA ukurasa wa kwanza wa gazeti hili tuna  habari kuhusu mradi mkubwa wa Vitambulisho vya Taifa uliomo mbioni kuanza baada ya mazungumzo yake kuanza katika miaka ya katikati ya 1970.

Ya Richmond na EPA yataibua mengi

Privatus Karugendo

TANGU kashfa za Richmond na EPA ziibuke kumetokea mambo kadhaa ambayo yameleta mijadala ya aina nyingi hasa kwa wahusika wakuu wa madudu hayo.

Buzwagi, Richmond kusuka ama kunyoa

Waandishi Wetu

KUUNDWA kwa kamati teule ya Bunge kuchunguza sakata la zabuni ya mradi wa umeme wa dharura iliyotolewa kwa kampuni ya Richmond Development Corporation na kugubikwa na utata tokea mwanzo hadi sasa

Richmond sasa ifikie mwisho

John Bwire

TANGU Bunge litoe mapendekezo yake kuhusu hatua za kisheria na kinidhamu dhidi ya wahusika katika kashfa ya zabuni ya kampuni ya Richmond Development, mwaka sasa unaelekea kutimia.

Pages

Subscribe to Richmond