 |  | Wakulima Mbeya wacharuka na Teknohama!Felix Mwakyembe"SIO rahisi kumlalia mkulima siku hizi, wakulima huku nao wanazo simu, hupiga huku (soko la Mbalizi) kila siku kujua bei ya mazao iliyopo. Ukimlalia anakwambia mbona bei iko juu Mbalizi...
|
|
Ilani za vyama na econometrics tata!Godfrey DilungaNAUNGANA na wanaoamini au watakaoamini kwamba kitaifa hatuhitaji Ilani za vyama vya siasa wakati wa Uchaguzi Mkuu. Tunahitaji ilani moja, iliyoandaliwa na jopo la watalaamu mahsusi kwa kuzingatia fursa halisi za kiuchumi nchini...  | Ya Bernard Membe na mapinduzi ya Niger!Johnson MbwamboHIVI karibuni nilimsikia Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania, Bernard Membe akihojiwa na BBC kuhusu mapinduzi ya kijeshi yaliyofanyika huko Niger, Afrika Magharibi...  |
|
|
 | Kuna somo katika sinema mpya za Bongo!Ayub RiobaMWANZONI mwa mwezi jana nilipata fursa ya kwenda Ghana. Nilifurahi kupata mwaliko wa kwenda Ghana kwa sababu kadhaa. Kwanza ninaipenda Afrika...  | Nyegera waitu Bukoba mjini!Privatus KarugendoLEO napenda kuzungumzia mji wa Bukoba ambao ndiyo makao makuu ya Mkoa wa Kagera. Kuna njia kuu tatu za kuingia mji wa Bukoba. Unaweza kuingia kwa barabara, kwa ndege au kwa meli...
|
|
 | Tunaweza hata kuwa na minada ya hongo!Hidaya?Unajua mheshimiwa, moyo au tumbo likikutuma, waweza kutetea kitu chochote. Na hata kama unashindwa kuwadanganya wengine waweza kujidanganya hadi unakuwa mbogo mtu yeyote akipinga'...  | Tumefanya kosa kuvunja madaraja ya ligiIbrahim MkambaKWENYE awamu ya kwanza ya uongozi wa taifa letu kulikuwa na misemo mingi mahsusi iliyokuwa ikihusu mipango mbalimbali ya maendeleo yetu. Mmoja uliokuwa maarufu sana ni ule unaosema kwamba ili tuendelee...
|
|