Julai 21 - 27, 2010
 
Toleo Na. 143
   Maoni ya Mhariri
Mchakato wa wagombea uwe makini
HEKAHEKA za kuchukua na kurudisha fomu za kuteuliwa kugombea ubunge na udiwani katika Chama cha Mapinduzi (CCM) zilianza rasmi wiki hii katika mikoa mbalimbali nchini. Zoezi hilo lilianza baada ya wengi wao kabla ya hapo kutangaza nia ya kufanya hivyo. Cha kufurahisha katika zoezi hilo la chama tawala ni kwamba hakuna jimbo ambalo wanachama wa chama hicho wameogopa kujitokeza, kila aliyejiona anafaa ametumia haki yake ya kuwania uongozi....
JOTO LA URAIS 2010
Dk. Slaa amvaa Kikwete

KATIBU MKUU wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Dk. Wilbroad Slaa, amekubali kuwa mgombea urais wa Tanzania kupitia chama hicho, uamuzi ambao ulitangazwa jana Jumanne na Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe...
 Habari

Mbivu na mbichi za ubunge CCM
HARAKATI za kuwania ubunge na udiwani zilianza kwa kishindo mapema wiki hii kwa wabunge wengi waliomaliza muda wao kuchukua fomu za kuomba tena na wengi wapya kujitokeza kuchukua fomu...
 Rai ya Jenerali

Uwakilishi wa wananchi unaporwa, tunapanua utawala
Jenerali Ulimwengu
KATIKA kujadili michango ya watu na taasisi katika safari ya uboreshaji wa utawala na upanuzi wa demokrasia, wiki jana niligusia mchango wa Christopher Mtikila...
 Makala

Warioba: Imeibua ya enzi za mkoloni
MWANASIASA na mwanasheria mkongwe, Jaji Joseph Warioba, amesema uamuzi wa Mahakama ya Rufaa kuhusiana na suala la mgombea huru linakumbusha historia ya mkoloni kabla ya uhuru...
 
 
free counter

counters

 
 Makala   Makala   Makala   Makala
Maswali ambayo Tido alishindwa kumuuliza Lowassa
Lula wa Ndali-Mwananzela
MAHOJIANO ya Mkurugenzi wa TBC Tido Mhando na aliyekuwa Waziri Mkuu Edward Lowassa ambayo yalirushwa Ijumaa iliyopita yameniacha na maswali mengi zaidi kuliko majibu...
Kwanini simba awinde panya pori?
Maggid Mjengwa
INATUHUSU sisi Watanzania. Mnyama simba ana uwezo wa kumfukuza, kumkamata na kumla panya pori. Lakini, simba huyu atakuwa si mwenye busara kwa kutumia muda na nguvu zake nyingi kuwinda panya pori siku nzima...
Utata ujenzi barabara ya Serengeti
Paul Sarwatt
NDOTO ya Serikali na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutumia mradi wa ujenzi wa barabara ya kuunganisha mikoa ya Arusha na Mara inayopita katikati ya Hifadhi ya Taifa ya Serengeti kama mtaji wa kuombea kura...

 

Buriani Profesa Mwaikusa
Godfrey Dilunga
BURIANI Profesa Jwani Mwaikusa, mzalendo wa kweli na hodari kitaaluma. Uhai wake umetoweka ghafla, hataonekana tena katika viunga vya Chuo Kikuu Dar es Salaam (UDSM) wala mahakamani...
Ni takwimu, takwimu na takwimu zaidi!
Johnson Mbwambo
WIKI mbili hizi zilizopita tunaweza kusema kisiasa zilikuwa wiki za chama tawala CCM. Kwanza, kilifanya mkutano wake mkuu huko Dodoma uliomthibitisha Jakaya Kikwete kugombea tena urais...
Rushwa, kadi bandia vyatawala Shinyanga
WAKATI kindumbwendumbwe cha kuwania kura za maoni miongoni mwa wagombea uongozi kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) kikishika kasi nchini, rushwa na mbinu chafu za kujihakikishia kura nazo zimeshika kasi...
ZANZIBAR : Mzimu wa kale kung'atuliwa?
Joseph Mihangwa
KUTEULIWA kwa Dk. Mohamed Shein kuwa mgombea urais Visiwani Zanzibar kwa tiketi ya CCM wakati huo huo mchakato wa kuundwa kwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa Visiwani ukiendelea...

 

Mungu aliyemchagua Kikwete anaruhusu 'madudu' haya?
Deusdedit Jovin
UTATA unaoambatana na kauli za Baba Askofu Kilaini, ambaye pia alipata kujulikana kama "Mzee wa Chimbachimba", umechafua hali ya hewa kiasi kwamba wapiga kura wanapata shida...
Yale yale ya kahawa, pamba, dhahabu hata na Tanzanite!
Privatus Karugendo
INASEMEKANA kwamba baadhi ya majumba mazuri na ya kisasa yaliyojengwa mjini Arusha, ni matunda ya tanzanite, magari ya kifahari yanayoendeshwa na matajiri pia ni matunda ya tanzanite...
CCM Mbeya kuubeba Upinzani
Felix Mwakyembe
MICHAKATO na harakati za wanachama wa Chama cha Mapinduzi kuwania nafasi za ubunge na udiwani nchini ndio imeanza, lakini kwa Mkoa wa Mbeya joto lake lilianza mara tu baada ya...
Jaji Warioba: Mahakama inataka kujivua jukumu la kutafsiri sheria
Katikati ya mwezi uliopita, Mahakama ya Rufaa ilitoa hukumu iliyozua gumzo miongoni mwa jamii kuhusu rufaa ya Serikali juu ya hukumu ya Mahakama Kuu kuhusiana na mgombea huru...

 

Epukeni kuwapa kura makuwadi wa utandawazi
Mtu wa Kale
NI vyema Watanzania mkaelewa kwamba Ilani Elekezi Kutoka Kuzimu ya 2010-2015, imejikita katika kuonyesha njia mbadala ya kukishauri chama cha siasa kinachotaka ridhaa yenu katika kuendesha serikali...
Kwangu mimi, kama mtu hawezi kujikosoa anapojisifu ni sawa na vuvuzela tu
Hidaya
Nadhani bosi atakuwa haonekani sasa maana akili yake yote ni katika kwenda kuvuvuzela huko kwao. Tumefanya hiki … tumejenga kile … tumeongeza shule kibao … bila hata kuangalia kama shule hizi zinastahili kuitwa shule...
Nchunga ana changamoto nyingi Yanga
Francis Chirwa
KLABU ya michezo ya Yanga ya mjini Dar es Salaam, imepata viongozi wapya. Mwanasheria Llyod Nchunga amechaguliwa kuiongoza klabu hiyo kama mwenyekiti....