Machi 4 - 10, 2009
 
Toleo Na. 71
   Maoni ya Mhariri
Tusiboronge kura ya albino
HAKIKA hakuna kitu kibaya, ambacho katika miaka ya hivi karibuni, kimeipaka matope Tanzania kama mauaji ya ndugu zetu wenye ulemavu wa ngozi, sasa maarufu kama albino. Kutokana na mauaji haya, Tanzania inawekwa katika kundi moja na nchi ambazo kwa asili zimekuwa zikitajwa kuwa mbele katika kufinya haki za binadamu...
UCHAGUZI WA URAIS 2010
Kikwete kupata mpinzani mpya

KUNA uwezekano mkubwa kwamba Rais Jakaya Kikwete akapata mgombea mpya kutoka kambi ya upinzani baada ya kuwapo taarifa za wagombe waliojitokeza uchaguzi uliopita kuamua kuwania ubunge na kubadilika kwa upepo wa kisiasa nchini...
 Habari

Mkapa sasa azungukwa
MASHITAKA dhidi ya mawaziri wa zamani, Mramba na Yona, yameibua hofu kubwa kwa watendaji wa sasa na wa zamani serikalini wakiwamo na hata Rais mstaafu, Mkapa...
 Rai ya Jenerali

Hata ‘shaduf’ imetushinda?
Jenerali Ulimwengu
WIKI jana nilizungumzia umuhimu wa kujiuliza swali la ki-Sokrate, “Kwa nini?” Aidha niligusia umuhimu wa kurejesha utamaduni wa kufikiri kwa niaba yetu badala ya kukabidhi jukumu hili kwa wageni....
 Makala

Mwekezaji mpya mradi wa gesi akwamishwa
WAKATI mvutano wa kununua au kutonunua mitambo ya kufua umeme ya Kampuni ya Dowans yenye uwezo wa kuzalisha megawati 100 ukiendelea...
 
 
free counter

counters

 
 Makala   Makala   Makala   Makala
Ya wahariri wetu na hatma ya mhimili wa nne
Johnson Mbwambo
HIVI karibuni ulifanyika mkutano muhimu wa wahariri wa vyombo vya habari nchini uliojadili suala la kuibuka kwa magazeti yanayolenga kuandika habari chafu za wafanyabiashara wanayoyamiliki...
Ya watangazaji wetu na adhabu ya viboko!
Chesi Mpilipili
Msoma taarifa ya habari wa moja ya vituo vyetu vya televisheni nchini ametafsiri kichwa cha habari za michezo cha Bumper entries for ARC kwamba ni 'Mzunguko wa matuta katika mbio za Magari'!...
Mabadiliko ni lazima
Privatus Karugendo
SIKU hizi ninaishi Dar es Salaam. Wiki hii nilitembelea eneo la Ubungo, wa kule kwetu wasichanganye na Kibungo ya Rwanda, au Nyarubungo ya Biharamuro...
Kwani bastola ni dhambi au kuua ndiyo dhambi?
Hidaya
Eti mtoto wao kachaguliwa sekondari ambayo haijajengwa hadi sasa. Kwani kosa langu? Nitafanya nini kama mtoto wao kawa mbumbumbu darasani?’...

 

Bunge kushambulia mahakama: ni demokrasia au ubabe?
Joseph Mihangwa
FEBRUARI 6, Jaji Mkuu, Augustino Ramadhani, alitoa kauli iliyosisitiza umuhimu wa kudumisha Uhuru wa Mahakama unaotokana na dhana ya Mgawanyo wa Madaraka, kati ya mihimili ya Utawala (Rais), Bunge na Mahakama...
Shukran, nyaraka za siri zivujishwe zaidi
Godfrey Dilunga
KILA mmoja wetu ajiulize, kama si kuvujishwa kwa nyaraka za siri za EPA, katika Benki Kuu ya Tanzania, hizo Sh. bilioni 53 zilizoidhinishwa na Bunge kupelekwa kwa wakulima zingetoka wapi?...
Wakati umefika kuunganisha TAKUKURU na Mkaguzi Mkuu
Lula wa Ndali-Mwananzela
HIVI majuzi nilijihisi kama Sir Isaac Newton nilipokuwa naziangalia sheria za taasisi hizi mbili; yaani ile iliyounda TAKUKURU na ile ya Mkaguzi Mkuu wa Serikali...
Kagame aja Arusha na visheni mpya ya EAC
PAMOJA na kukabiliwa na changamoto mbalimbali kama ukosefu wa fedha na msukumo wa pamoja, nchi za EAC bado zinaendelea na ndoto za kujenga miundo mbinu ya pamoja...

 

Vyetu ni vyombo vya habari au vyombo vya kabari?
Ayub Rioba
Niliandika wiki mbili zilizopita nikisema imekuwa ni kawaida kila uchaguzi unapokaribia yanaibuka magazeti mapya ambayo hufanya kazi yake ya kampeni, na kisha kupotea baada ya matokeo kutangazwa...
Lipumba: Tutajipanga vizuri kwa 2010
Francis Chirwa
Mahojiano na Profesa Lipumba kuhusu kupitishwa kwake kama mwenyekiti wa CUF baada ya kupata kura nyingi dhidi ya wapinzani wake na mambo mengine mengi...
Utalii Maziwa Makuu: Gombe kujitangaza mlango kwa mlango
“KARIBU Hifadhi ya Gombe ukutane na watu wa msituni (Sokwe)”; hiki ni kitambulisho cha kukuonyesha kwamba uko katika hifadhi hii ya kipekee duniani...
Wanasoka wetu hawastahili tena majina ya utani?
Chesi Mpilipili
EZEKIEL Grayson 'Jujuman', Sunday Manara 'Computer', Abdallah 'King' Kibadeni, Haidar Abeid 'Muchacho', Juma 'Jenerali' Mkambi, Leopold 'Taso' Mukebezi...

 

Kuna mgongano wa maslahi timu ya Kikwete NIC
ZOEZI jipya la kurekebisha na hatimaye kubinafsisha Shirika la Bima la Taifa Tanzania (NIC) lina dosari kadhaa kubwa zinazoweza kuathiri mwenendo na hatima nzima ya zoezi lenyewe...
Waibua mbinu za kulinda misitu
MRADI wa Mazingira kwa Maendeleo Tanzania (EfDT), umeibua maeneo muhimu ambayo yatasaidia kulinda misitu nchini na kuendeleza maisha ya wanavijiji waishio kuzunguka hifadhi hizo...
Kimaro: Kwani Dowans ni ya nani?
MBUNGE wa Vunjo (CCM), Aloyce Bent Kimaro anasema kuwa katika zama hizi za uwazi na ukweli ni muhimu taifa likaelezwa kampuni inayomiliki mitambo ya kufua umeme wa dharura ya Dowans ni mali ya nani...
Tumetoka CHAN lakini wametutambua
Ibrahim Mkamba
Februari 28, ilikuwa siku ya huzuni kubwa kwetu Watanzania baada ya timu yetu ya Taifa Stars, kutofanikiwa kuingia nusu fainali ya mashindano ya CHAN...