Uchaguzi

Tupige kura tukiitafakari Tanzania yetu

Maggid Mjengwa

UZOEFU ni mwalimu mzuri. Unatufundisha kuwa kuwasha moto ni jambo jepesi sana, lakini, kuuzima moto, yaweza kuwa ni kazi ngumu sana.

Uchaguzi: Tufuate demokrasia au utaratibu ‘tuliojiwekea’?

Chesi Mpilipili

NINAIPENDA sana nchi ya Japan, kwanza kutokana na utengenezaji wake wa bidhaa imara mbalimbali zinazowafanya watengenezaji bidhaa wengine kuzipa majina bidhaa zao yanayofanana fanana na majina ya b

Nini kitakachokupa furaha ya dhati ukimaliza kupiga kura?

Ayub Rioba

KILA ninapowasikiliza wanasiasa mwaka huu ninaduwaa. Ninawasikiliza na kuwatazama katika televisheni wakizungumza ninajiuliza maswali mengi sana.

Wagombea someni vyema sheria hii

John Bwire
WAKATI tukielekea kwenye uchaguzi mkuu, ni vizuri wananchi wakawa makini kwa kila jambo wanalolifanya ili kujiepusha kuingia katika matata ya Sheria ya Gharama za Uchaguzi iliyopitishwa na bunge mwaka huu

Ushiriki wa wananchi katika chaguzi na changamoto zake

Selemani Rehani

HIVI sasa asasi mbalimbali zinafanya juhudi kubwa kutoa elimu ya uraia ili wananchi waweze kushiriki kikamilifu katika chaguzi za Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu wa 2010.

Vijana wa Tanzania wasitumike vibaya katika uchaguzi

Privatus Karugendo

KUNA dalili za kuwatumia vijana wetu vibaya katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu. Kuna sababu nyingi na za msingi zinazowashawishi vijana kujiingiza kichwa kichwa kwenye siasa.

Nilichojifunza Kenya - Kwanza ni kuwang’oa akina ‘KANU’

Kitila Mkumbo
JUMAMOSI ya Machi 30, 2013, Jamhuri ya Kenya ilihitimisha mchakato wa Uchaguzi Mkuu kwa Mahakama Kuu ya nchi hiyo kuhalalisha ushindi wa Uhuru Kenyatta

Uchaguzi wenye rushwa huzaa serikali ya wala rushwa

Joseph Mihangwa

YAWEZEKANA kwamba bado tutakuwa na tatizo kubwa la rushwa katika serikali ijayo kutokana na kura za maoni za uteuzi wa wagombea udiwani na ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) nchini kote kug

Pages

Subscribe to Uchaguzi