Makala

[133]
Toleo 295
Maggid Mjengwa
TAALUMA ya habari inahusiana kwa wanahabari kusema yalo ya ukweli kwa jamii. Na jambo hili lina changamoto zake katika jamii zetu hizi
[2,788]
Toleo 294
Lula wa Ndali Mwananzela
BAADA ya matukio ya ugaidi na uvunjifu wa hali ya Usalama kwa muda mrefu huko Nigeria, Rais Goodluck Jonathan wa n chi hiyo, alijikuta hana jinsi isipokuwa kuchukua hatua kali, za madhubuti na za kuonesha mfano.
[2,685]
Toleo 294
Ahmed Rajab
JE, yawezekana kwamba viti vya urais barani Afrika vinatia wazimu? Swali hilo, ambalo lenyewe huenda likawa la kiwazimu, tuliulizana juzi mimi na mwandani wangu mmoja
[1,933]
Toleo 294
Msomaji Raia
PAMOJA na kuwa mwandishi kanjanja, lakini namfahamu Salva Rweyemamu. Yule Mkurugenzi wa Mawasiliano katika Ikulu yetu ya Dar es Salaam. Ni mwandishi wa habari mzoefu aliyefanya kazi ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM), kwenye sekta binanfsi na sasa serikalini.
[1,881]
Toleo 294
Yahya Msangi
HAPO kitambo kidogo niliandika makala katika gazeti la Raia Mwema nikiomba waumini wote wa kiislamu na kikristo ‘wachinje’ imani zao ili Taifa libakie salama
[1,709]
Toleo 294
Joseph Mihangwa
Uteuzi wa Mwinyi kugombea nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano, uliofanywa na NEC chini ya mfumo wa chama kimoja, ulikuwa tiketi turufu kwa mteule huyo kushika nafasi hiyo. Kwa jinsi hii, nafasi ya Rais wa Zanzibar aliyokuwa ameshikilia ikawa imebaki wazi
[1,471]
Toleo 294
Jenerali Ulimwengu
NI vigumu kuamini mambo tunayoyashuhudia kwa kuyaona na kuyasikia. Binafsi najiuliza ni nini kimetusibu hadi tunafanya mambo yakitoto kiasi hiki? Na ni kwa nini tunaonyesha kila dalili za jamii ya watu waliokata tama kabisa na sasa wanajifanyia kila linalokuja akilini mwao… alimradi
[1,261]
Toleo 294
Godfrey Dilunga
UJIO wa wapelelezi kutoka Shirika la Upelelezi la Marekani (FBI) kusaidia uchunguzi au upelelezi katika tukio la shambulio la bomu katika Kanisa Katoliki, Parokia ya Olasiti, jijini Arusha, pamoja na matukio ya kigaidi Zanzibar, kwa upande wangu, ni wa kutafakari upya mwelekeo wetu kiusalama nchini
[1,116]
Toleo 294
Paul Sarwatt
KAMPENI za uchaguzi mdogo kuziba nafasi za udiwani uliokuwa ukisubiriwa kwa hamu katika kata nne za Halmashauri ya Jiji la Arusha, zimepangwa kuanza Jumatano ya wiki hii, mchuano mkali ukitarajiwa kuwa kati ya wagombea wa Chama cha Mapinduzi na wale wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo na vyama vingine vikipewa nafasi ndogo
[826]
Toleo 294
Navaya ole Ndaskoi
KASHFA ya Loliondo imetimiza miaka 20 mwaka huu. Na hivi karibuni imegonga tena vichwa vya habari za dunia. Jarida la New York Times, Shirika la Utangazaji la Uingereza BBC, gazeti la Guardian la Uingereza, Televisheni maarufu ya Aljazeera ya Imarati ni miongoni mwa vyombo mashuhuri vya habari vilivyoripoti mgogoro huu karibuni.
[716]
Toleo 294
Mwandishi Wetu
CHAMA cha Mapinduzi (CCM ) jijini Mwanza kinadaiwa kuingia katika mvutano baina ya viongozi wake katika Wilaya ya Ilemela na ngazi ya mkoa kutokana na sababu mbalimbali, ikiwamo uamuzi wa kuwahamisha viongozi wanaodaiwa ni wazembe
[715]
Toleo 294
Joseph Mihangwa
NI wanafunzi 126,847 tu kati ya 367,756 waliofanya mtihani mwaka 2012 waliofaulu katika  viwango mbalimbali, 240,909 waliobaki hawakuambua kitu
[567]
Toleo 294
Maggid Mjengwa
MAJUZI hapa, Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Shamsi Vuai Nahodha, alitoa kauli yenye hekima na busara nyingi juu ya umuhimu wa viongozi kuchunga kauli zao
[526]
Toleo 294
Johnson Mbwambo
TAKWIMU za matumizi ya nishati inayotokana na kuni na mkaa zinatisha. Katika Afrika, Tanzania inashika nafasi ya pili kwa utumiaji wa nishati ya mkaa na kuni ikiwa nyuma ya Nigeria
[404]
Toleo 294
Evarist Chahali
AWALI nilidhamiria makala hii iwe ya hitimisho la makala mbili zilizotangulia kuhusu mageuzi ya kisiasa na kushamiri kwa siasa za chuki huko nyumbani. Nimeliweka kando kidogo hitimisho hilo ili nizungumzie tukio la shambulio la bomu kanisani huko Arusha

Pages