UKIPEWA kazi ya nchi, lazima ujiheshimu. Huwezi kupewa kazi ya nchi halafu unaishi kihunihuni. Kazi za uhuni ziko tele. Nenda kafanye uhuni wako kule. Kwa hiyo, nchi zote zina miiko. Hapa kwetu hatuna. Wameiacha miiko ya Azimio la Arusha, hawakuweka miiko mingine. Sasa ni holela tu
Walipata Kunena
-
Nyerere na viongozi wahuni
Maoni ya Wasomaji
-
Jamani kama ni kutoa maoni basi toeni kwa kiswahili. Kiingereza gani alichotumia kutoa maoni huyo hapo juu!!! Huo ni ujuha. Kuhusu matokeo, nadhani serikali imelenga kufurahisha wapiga kura.1 hour 6 minYametolewa maoni mengine 3
