NIMESEMA mara kadhaa kwamba mshale kwao ni porini. Unapoweka mshale kwenye upinde na ukalenga mnyama, na kisha mshale ukaenda porini, usishani umepotea. Huko ndiko nyumbani kwake. Na mimi kurudi kwenye utumishi wa Chama (CCM) ni sawa na kurudi nyumbani
Walipata Kunena
-
Makamba na mshale porini
Maoni ya Wasomaji
-
Je kuna uchawi?16 hours 43 minYametolewa maoni mengine 1
