VITAIFA vidogo duniani (ikiwemo Tanzania) ni kama mwanamke aliyevaa (vibaya) nguo fupi; maana vinchi hivi huvutia mataifa makubwa yenye uchu na dhamira mbaya za kishetani
Walipata Kunena
-
Nyerere na vitaifa vidogo
Maoni ya Wasomaji
-
Hii serikali kweli haina huruma na haidhamini wananchi wake. inaelekea GPSA imetekwa na mafisadi papa ambao wanataka kuwanyima fursa wafanya biashara wenye mitaji midogo kujiendeleza.19 hours 56 minYametolewa maoni mengine 1
