KITU tunachokipinga na cha hatari kuhusu wanaharakati hawa wenye misimamo mikali si ni ukali wa misimamo yao; bali ni kuishiwa kwao na uvumilivu. Uovu wao si kuhusu kile wanachokieleza kuhusu malengo yao; bali kile wanachowapakazia maadui wao
Bob Kennedy na uvumilivu
Maoni ya Wasomaji
Makala yako kwa kiasi kikubwa nakubaliana na wewe. Ila naona kama umekosea kuutaja ubalozi wa Vatican kama taasisi badala ya nchi.