Februari 3 - 9, 2010
 
Toleo No. 119

   Habari Mpya  
Jino kwa jino CUF, CCM na CHADEMA
WAKATI vumbi la kampeni likiendelea kutimka, Chama Cha Wananchi (CUF) kimelalamikia mwenendo wa kampeni wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Chama Cha Mapinduzi (CCM), malalamiko yanayohusisha kauli za vyama hivyo na matumizi ya fedha...
 Makala Mpya

Kagame: Wa nje hawataki kuamini maendeleo ya Rwanda
Yafuatayo ni mahojiano ambayo Jenerali Ulimwengu alimfanyia Rais Kagame wa Rwanda aliyepata ushindi mkubwa katika uchaguzi mkuu wa nchi hiyo hivi karibuni...

TANROADS katika mgogoro mpya
MRADI wa Ujenzi wa Barabara ya Bagamoyo-Makofia-Msata, ambao umepewa jina la 'ng'ombe wa maziwa' umeingia katika mgogoro mpya...

Zanzibar kujitangaza nchi imevunja Katiba? [2]
Na Joseph Mihangwa
“...Ni Serikali moja ya Muungano yenye madaraka kwa mambo kadhaa tu na kwa maeneo kadhaa ya Muungano. Zaidi ya hayo panaweza kuwa na Serikali (dola) nyingine zenye mamlaka yake na kwa mujibu wa Katiba zake, na si kutoka Serikali kuu hata kidogo...”...
 
 
free counter

counters