Machi 10 - 16, 2010
 
Toleo No. 124

   Habari Mpya  
Jino kwa jino CUF, CCM na CHADEMA
WAKATI vumbi la kampeni likiendelea kutimka, Chama Cha Wananchi (CUF) kimelalamikia mwenendo wa kampeni wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Chama Cha Mapinduzi (CCM), malalamiko yanayohusisha kauli za vyama hivyo na matumizi ya fedha...
 Makala Mpya

Uchaguzi wa wabunge: Tuchague ujana wa moyo dhidi ya umri
Na Godfrey Dilunga
VYAMA vya siasa, hasa vinavyoaminika kuwa na nguvu ya kisiasa nchini vimepania kupata idadi kubwa ya wabunge katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu...

Tusilaumu mabondia, uzalendo hauliwi
Na Chesi Mpilipili
KWENYE orodha ndefu ya watu wanaopaswa kuwambwa msalabani kutokana na sakata la kuiaibisha nchi kwa timu ya taifa kushindwa kushiriki michuano ya kimataifa ambayo ndio mwenyeji, mabondia wa timu yetu ya taifa hawapaswi kuwemo...

TANROADS katika mgogoro mpya
MRADI wa Ujenzi wa Barabara ya Bagamoyo-Makofia-Msata, ambao umepewa jina la 'ng'ombe wa maziwa' umeingia katika mgogoro mpya...
 
 
free counter

counters