Machi 10 - 16, 2010
 
Toleo No. 124

   Habari Mpya  
Jino kwa jino CUF, CCM na CHADEMA
WAKATI vumbi la kampeni likiendelea kutimka, Chama Cha Wananchi (CUF) kimelalamikia mwenendo wa kampeni wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Chama Cha Mapinduzi (CCM), malalamiko yanayohusisha kauli za vyama hivyo na matumizi ya fedha...
 Makala Mpya

Tusilaumu mabondia, uzalendo hauliwi
Na Chesi Mpilipili
KWENYE orodha ndefu ya watu wanaopaswa kuwambwa msalabani kutokana na sakata la kuiaibisha nchi kwa timu ya taifa kushindwa kushiriki michuano ya kimataifa ambayo ndio mwenyeji, mabondia wa timu yetu ya taifa hawapaswi kuwemo...

Mbeya wampa matumaini Kikwete
MATARAJIO ya walio wengi ilikuwa kushuhudia mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi, (CCM) Jakaya Kikwete akikabiliwa na upinzani kutoka kwa wananchi wakati wa kampeni mkoani Mbeya...

Kwa nini hofu ya upadre wa Dk. Slaa haina msingi
Na Lula wa Ndali-Mwananzela
KWA muda mrefu sasa vyombo kadhaa mbalimbali vya habari na watu binafsi vimekuwa vikieneza habari kuwa Dk. Wilibroad Slaa ni Padre hadi leo hii kama walivyo mapadre wengine...
 
 
free counter

counters