Julai 28 - Agosti 3, 2010
 
Toleo No. 144

   Habari Mpya  
Jino kwa jino CUF, CCM na CHADEMA
WAKATI vumbi la kampeni likiendelea kutimka, Chama Cha Wananchi (CUF) kimelalamikia mwenendo wa kampeni wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Chama Cha Mapinduzi (CCM), malalamiko yanayohusisha kauli za vyama hivyo na matumizi ya fedha...
 Makala Mpya

Arcado Dennis Ntagazwa: Yatima mlala njaa na mchunga mbuzi aliyegeuka kigogo kitaifa
Mwandishi Wetu, Godfrey Dilunga, alifanya mahojiano na Arcado Dennis Ntagazwa ambaye amehama CCM kwenda CHADEMA na kuteuliwa kugombea ubunge Jimbo la Muhambwe, Kigoma...

CCM Arusha: Kama Fiesta
UZINDUZI wa kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jimbo la Arusha Mjini uliofanyika mwishoni mwa wiki ulikuwa kama tamasha maarufu la muziki la "Fiesta"...

Uchaguzi wa wabunge: Tuchague ujana wa moyo dhidi ya umri
Na Godfrey Dilunga
VYAMA vya siasa, hasa vinavyoaminika kuwa na nguvu ya kisiasa nchini vimepania kupata idadi kubwa ya wabunge katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu...
 
 
free counter

counters