Kizungumkuti cha mishahara Mererani
IDADI kubwa ya wachimbaji wadogo wa madini ya Tanzanite katika machimbo ya Mererani wilayani Simanjiro wapo hatarini kukosa ajira iwapo serikali itatekeleza agizo la kuwataka wamiliki wa migodi kuwalipa wachimbaji mishahara wachimbaji hao wadogo. Mwishoni mwa mwezi Februari serikali kupitia kwa Mkuu wa Mkoa wa