Arumeru

Arumeru bado kwafukuta

Paul Sarwatt
Maeneo ya shamba la Dolly Estate yaliyonunuliwa na wazungu
USALAMA wa maisha na mali za wamiliki na wawekezaji wenye mashamba wilayani Arumeru ni tete kutokana na vurugu na uvamizi unaofanywa na wananchi

CHADEMA yatikisa vigogo wa CCM

Waandishi Wetu
Siyoi Sumari
HALI ya wasiwasi imezidi kuenea ndani ya CCM kutokana na pingamizi jipya dhidi ya mgombea wao

Mbunge Wenje wa CHADEMA matatani

Waandishi Wetu
MBUNGE wa Nyamagana (CHADEMA), Ezekia Wenje
MBUNGE wa Nyamagana, Ezekia Wenje, ameingia matatani akituhumiwa kumtishia kwa bastola mwanachama mwenzake

Ni vita ya Dk. Slaa, mtandao wa fedha

Waandishi Wetu
Wagombea wanaoshindana kwa karibu Arumeru mashariki, Joshua Nassari wa CHADEMA na Siyoi Sumari wa CCM, kila mmoja ushindi wake unategemea vigezo tofauti

Kwa nini CHADEMA wameiliza CCM?

Mwandishi Wetu
Joshua Nassari
USHINDI wa CHADEMA katika kinyang'anyiro cha ubunge Arumeru Mashariki wa Jumapili iliyopita kwa kiasi kikubwa msingi wake ni makosa ya kimkakati ya CCM

Meseji za komredi Lowassa zanaswa

Mwandishi Wetu
Siyoi Sumari
upepo umegeuka kwa mgombea wa CCM Arumeru Mashariki na sasa, anaweza kuenguliwa katika kinyang'anyiro hicho kwa njia mbili

Uchaguzi wa Arumeru umetufundisha mengi

Ayub Rioba

UCHAGUZI wa Arumeru Mashariki umemalizika salama na mshindi amepatikana.

Tanzania nchi ya vituko na viporo vya utatuzi wa kero

Evarist Chahali

MIONGONI mwa habari zilizogusa hisia za wengi wiki iliyopita ni tishio la madaktari kuwa ifikapo Jumatano hii (Machi 7)  watarejea kwenye mgomo iwapo viongozi wawili wa Wizara ya Afya, Wazir

Takukuru mali ya umma si tawi la CCM, isiyumbe

John Bwire
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imeundwa kwa mujibu wa sheria halali, zilizotungwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Sheria zinazoiweka taasisi hiyo huru dhidi ya kuyumbishwa na taasisi nyingine nchini ambazo ni pamoja na vyama vya siasa

Kifo cha Nyerere si mzaha wa kisiasa

John Bwire
KAMPENI za uchaguzi mdogo wa Arumeru Mashariki, kwa ajili ya kumpata mbunge mpya wa jimbo hilo zinaendelea lakini hata hivyo, tayari baadhi ya kauli za viongozi zinasikitisha na si za kushabikiwa

Pages

Subscribe to Arumeru