BoT

Mawaziri sasa waguswa

Mwandishi Wetu

HALI si shwari ndani na nje ya Serikali kuhusiana na matukio ya Benku Kuu (BoT) na sasa imebainika kwamba baadhi ya wanasiasa, wakiwamo mawaziri, wa sasa na wa zamani, wanatuhumiwa kuhusika na uf

Mabilioni zaidi yalichotwa BoT

Mwandishi Wetu

BAADA ya kashfa ya Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA), Benki Kuu ya Tanzania (BoT) na Serikali sasa zinatishiwa na kashfa nyingine kubwa zaidi ya upotevu wa zaidi ya Sh.

Ballali aumiza vichwa

Mwandishi Wetu

HALI ya afya ya Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Dk.

Ikulu ya Ben Mkapa iliibeba Meremeta

Mwandishi Wetu

SASA ni wazi, uongozi wa awamu ya tatu chini ya Rais mstaafu, Benjamin Mkapa ndio ulioshinikiza na kuidhinisha kuanzishwa kwa Kampuni ya Meremeta Gold, inayohusishwa na upotevu wa Sh bilioni 155,

Ufisadi BoT: CCM matatani

Waandishi Wetu

CHAMA cha Mapinduzi (CCM) na Serikali yake vi mtegoni, na itabidi kuamua kusuka ama kunyoa kwa kuwa kuna uwezekano mkubwa kwamba fedha zilizochukuliwa kutoka Benki Kuu (BoT) chini ya Mpango wa U

Maofisa BoT kutaja vigogo

Mwandishi Wetu

MAOFISA wa Benki Kuu (BoT) ambao wanatajwa kuhusika katika mchakato wa fedha za Akaunti ya Malipo ya Madeni ya Nje (EPA) katika benki hiyo, sasa wanaelezwa kujiandaa kupasua bomu kwa kuwataja vi

Siri mpya ya ufisadi Benki Kuu yaanikwa

Mwandishi Wetu

WARAKA unaoonyesha siri ya matukio ya ufisadi ndani ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) umepatikana ukionyesha kwamba, sehemu kubwa ya watuhumiwa waliofikishwa mahakamani walitokana na mabadiliko yal

Vigogo wawatisha mashahidi kashfa BoT

Mwandishi Wetu

WAKUU wa Serikali na vigogo ndani ya Chama Cha Mapinduzi wanahaha kutokana na kashfa nzito ya wizi wa mabilioni Benki Kuu (BoT), na sasa wanafanya kila liwezekanalo ili kuwakinga baadhi ya watuhumi

Majengo ya BoT yampeleka Keko Liyumba na mwenzake

Mwandishi Wetu

MKURUGENZI Utumishi na Utawala wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Amatus Liyumba, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam akikabiliwa na mashitaka matatu, likiwamo

Serikali yalea mafisadi wa EPA

Waandishi Wetu

UAMUZI wa kupokea fedha zilizoibwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) bila kuwachukulia hatua wahusika, unaashiria uchafu na Serikali kukumbatia ufisadi waziwazi, imeelezwa.

Pages

Subscribe to BoT