BoT

Kula mle kuuliza tusiwaulize?

Lula wa Ndali Mwananzela
BENKI Kuu wanataka kula tena; wanataka kula bila kuulizwa na yeyote; wanataka kula huku tukiwatazama. Si huku tunawatazama tu bali wanataka wale huku tukiwapigia makofi kwa jinsi gani wanakula vizuri

Gavana Ndulu ajitosa fedha za Uswisi

Mwandishi Wetu
Gavana wa Benki Kuu (BoT), Profesa Benno Ndulu
Gavana amekiri ugumu wa kurejesha fedha hizo na kueleza kwamba mchakato wa kuzirejesha utahitaji pia taarifa kutoka kwa wenye fedha hizo

Sakata la ufisadi BoT likiendelea, tujikumbushe la IPTL

Joseph Mihangwa

WATANZANIA wengi bado wanalikumbuka sakata la ugomvi kati ya kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) na TANESCO kati ya mwaka 1999 na 2001 kuhusu gharama za ujenzi wa mtambo wa umem

Majibu ya Benki Kuu yanaishitaki Serikali

Lula wa Ndali Mwananzela
KAMA tungekuwa na nia ya kupigana na ufisadi na hasa ule wa matumizi mabaya ya ofisi, fedha na rasilimali za nchi kama wanavyofanya kule Uchina

Benki Kuu bado mambo magumu

Mwandishi Wetu

TAARIFA za ndani ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) zinaeleza kwamba taasisi hiyo nyeti nchini imekuwa haiwatumii ipasavyo watumishi wake waandamizi wenye elimu ya kutosha na badala yake imekuwa iki

Waliochota BoT ni wezi

Mwandishi Wetu

HAYA tumepata kuyasema huko nyuma. Karibuni zaidi tuliyasema wiki iliyopita katika safu hii. Kwamba jinai ni jinai, kurejesha fedha isiwe mwisho.

Vigogo watajwa kujipa fedha zilizotolewa BoT

Waandishi Wetu

MATUMIZI ya Sh trilioni 1.7 kuhami uchumi dhidi ya mtikisiko wa kiuchumi duniani ulioathiri kampuni za ununuzi pamba mikoa ya kanda ya ziwa na hatimaye kampuni hizo kumegewa sehemu ya fedha hizo

Profesa Shivji: Umma una haki kuwajua warejesha fedha BoT

Aristariko Konga

Wiki iliyopita Profesa Issa Shivji alitoa maoni yake kuhusu timu inayochunguza ufisadi kwenye Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT) pamoja na ute

Benki Kuu kufuta kesi hewa - Gavana Ndullu

Mwandishi Wetu

GAVANA wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Profesa Benno Ndullu, amesema wameshaanza mchakato wa kutekeleza maagizo ya Bunge kutaka kuziondoa mahakamani kesi hewa zilizofungiliwa na benki hiyo mahak

Wizi BOT: Sote tushirikiane

Privatus Karugendo

SASA ni wazi kwamba wizi mkubwa ulitokea BoT. Imetangazwa wazi na Katibu Mkuu Kiongozi Philemon Luhanjo. Hakuna ubishi tena kwamba ni uzushi, hakuna ubishi tena kwamba Dk.

Pages

Subscribe to BoT