Bunge

Ni Bajeti ya shusha pumzi

Waandishi Wetu

NAULI na gharama nyingine za bidhaa zinaweza kushushwa baada ya Serikali jana kutangaza Bajeti yake, mjini hapa, inayolenga kupunguza bei ya mafuta na kusudio la kufuta utozaji ushuru mbalimbali

Bunge launda kamati kuchunguza UDA

Mwandishi Wetu

BUNGE limeunda kamati ndogo kuchunguza madai yanayotolewa kuhusiana na ubinafsishaji wa Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA), baada ya kuibuka kwa hisia kali miongoni wabunge wenyewe, vyombo v

Mwangwi wa Slaa wagusa bajeti

Waandishi Wetu

WAZIRI Kivuli wa Fedha na Uchumi, Zitto Kabwe, amewasilisha Bajeti ya Kambi ya Upinzani Bungeni akibainisha kuongeza mapato hadi Sh.

Bunge la Bajeti ni mwezi Aprili

Mwandishi Wetu
Dk. Wilbroad Slaa
Dk. Slaa afurahia, ataka mshahara na safari za Rais zianikwe bungeni

Ikulu kuwafutia posho wabunge

Mwandishi Wetu
Rais Jakaya Kikwete, Spika Anna Makinda
SAKATA la nyongeza ya posho kwa wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeingia katika sura mpya

Kina Zitto hatarini

Mwandishi Wetu

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kupitia kwa Katibu Mkuu wake, Wilson Mukama, kimeanza kushawishi ili kiongoze Kamati nyeti za Bunge ambazo Spika aliyepita Samuel Sitta, aliziweka katika uongozi wa wab

Kamati ya Zitto yarudi kiaina

Mwandishi Wetu
Spika Anne Makinda na Mbunge Zitto Kabwe
SPIKA wa Bunge, Anne Makinda, ameendelea kushika mpini katika uundaji wa kamati mpya za Bunge

Bunge, Rais mtegoni

Mwandishi Wetu
William Lukuvi, Tundu Lissu
Kipengele cha mafao ya kujitoa kwenye Sheria ya Mifuko ya Hifadhi ya Jamii kimeibua mtafaruku

Nusu saa ya Lissu balaa kwa Spika

Mwandishi Wetu
Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu  Lissu
HALI ya mambo si swari kuelekea mkutano ujao wa Bunge na hasa kwa Spika wa Bunge, Anne Makinda

Wabunge mtegoni

John Daniel
Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Dk. Edward Hoseah
TAKUKURU imetoa ripoti ya uchunguzi kuhusu utata na uhalali wa malipo ya viwango vipya vya posho kwa wabunge

Pages

Subscribe to Bunge