WAKATI Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CC -CCM) ikiingia katika mtihani mgumu kujadili na hatimaye kupitisha majina ya watu watakaowania nafasi ya Spika wa Bunge, imeelezwa kwamba nafasi hiyo
NI dhahiri kauli ya Spika Anne Makinda kuwa wabunge wanaongezewa posho kwa vile gharama ya maisha Dodoma iko juu inaonyesha udhaifu wa viongozi wetu wengi, kukosa uelewa wa hali halisi.
DHANA ya uwajibikaji bila shinikizo (best practice) ni dhana ya kiungwana. Ni dhana ambayo inaweza kutekelezwa kwa hiari ya mhusika au nguvu za kikanuni au sheria.
WAKATI wabunge wakiwa ni sehemu ya watumishi wa umma, wafadhili wamepewa ripoti inayowataja kuwa ni mfano wa vigogo wanaofaidi zaidi rasilimali za Taifa kwa kupewa maslahi manono ikilinganishwa n
BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia kamati yake ya uongozi, limepanga kuzifanyia mabadiliko kanuni zake ili kuimarisha tija ya muhimili huo kwa Taifa na kufuta taswira kwamba ni cho
MFUMO wa dola wa Tanzania umeweka mazingira magumu kwa wabunge kuwavua nguo chafu viongozi wetu na kuzianika juani, ambapo kila mpita njia anaziona, kama shinikizo mojawapo la kuwataka wazifue.
SINA uhakika kanuni za Bunge zinasema vipi; hivi ni lazima Kamati Teule za Bunge ziundwe na Wabunge wenyewe? Na hata kama suala linalojadiliwa linagusa maslahi ya taifa zima?
KUSAMEHE maana yake si kusahau. Kusamehe maana yake ni kukumbuka; yaani kukumbuka kutoitumia haki yako kijibu mapigo. Suala la kukumbuka ni muhimu mno; hasa kama hutaki mambo mabaya yaliyotokea yajirudie
Tutu na kusamehe
Maoni ya Wasomaji
Hii serikali kweli haina huruma na haidhamini wananchi wake. inaelekea GPSA imetekwa na mafisadi papa ambao wanataka kuwanyima fursa wafanya biashara wenye mitaji midogo kujiendeleza.