CCM

CCM wajikaanga

Waandishi Wetu
MWENYEKITI wa CCM, Jakaya Mrisho Kikwete, ameuvuruga mtandao wa Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa

Ufisadi BoT: CCM matatani

Waandishi Wetu

CHAMA cha Mapinduzi (CCM) na Serikali yake vi mtegoni, na itabidi kuamua kusuka ama kunyoa kwa kuwa kuna uwezekano mkubwa kwamba fedha zilizochukuliwa kutoka Benki Kuu (BoT) chini ya Mpango wa U

Sumaye sasa ajipanga

Waandishi Wetu
Waziri mkuu wa zamani, Frederick Sumaye
BAADA ya kushindwa kwenye uchaguzi wa ndani ya chama chake, waziri mkuu wa zamani, Frederick Sumaye sasa anasema ni kazi ngumu kushinda CCM kama huna fedha

Mpasuko mpya CCM

Mwandishi Wetu

HUKU Kamati ya Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi ikiwa imeongezewa muda kukamilisha usuluhishi miongoni mwa wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kundi jipya limeibuka ndani ya chama hicho likitaka

Mbio za Urais 2015 kuiga ya Kenya

Waandishi Wetu
Wapinzani Kenya baada ya muafaka
HARAKATI za wataka urais wa Tanzania mwaka 2015 sasa zimeingia bungeni ambako baadhi ya wabunge wanajipanga kwenye makundi

CCM vipande NEC Dodoma

Mwandishi Wetu

KIKAO cha Halmashauri Kuu (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinachotarajiwa kufanyika mjini Dodoma wiki hii kitakuwa na ajenda nzito zitakazoamua kukigawa ama kukipa uhai mpya chama hicho kikon

Vigogo CCM wataka Bunge kufumuliwa

Mwandishi Wetu
KAMATI Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi
KAMATI Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi iliyokutana mjini Dodoma mapema wiki hii imependekeza kufumuliwa kwa muundo wa sasa wa Bunge la Jamhuri ya Muungano

Nani ni nani CCM?

Mwandishi Wetu
Kinana, Nape na Wassira
KUNA maswali na mijadala kuhusu nani anatoka katika uongozi wa CCM na nani anaingia, hususan, katika sekretariati mpya ya chama

Uasi sasa wazidi kuizingira CCM

Waandishi Wetu
Wilson Mukama, Katibu Mkuu wa CCM
MKUTANO wa viongozi wa juu wa CCM unaoendelea Dar es Salaam umekumbwa na jaribio la kufanya uasi dhidi ya baadhi ya viongozi wa kitaifa wa chama hicho

Umaarufu wa CCM umedorora

Mwandishi Wetu

CHAMA cha Mapinduzi (CCM) sasa kinapingwa kwa nguvu zaidi kulinganisha na miaka miwili iliyopita, imeelezwa.

Pages

Subscribe to CCM