CHADEMA

Kimbunga CHADEMA, chazua kiwewe CCM

Waandishi Wetu
Upepo mkali unazidi kuvuma miongoni mwa wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kubebwa na upepo wa mageuzi

Regia ameondoka, ametuachia daraja

Maggid Mjengwa

JUMATANO ya leo hii kuna mkusanyiko mkubwa wa watu kule Ifakara. Ni Watanzania wanaoshiriki kumsindikiza kwenye safari yake ya mwisho, ndugu yetu mpendwa, Regia Estelatus Mtema.

CCM yawatuhumu wanaohamia CHADEMA

Deus Bugaywa
WAKATI baadhi ya wanachama wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Mwanza wanakitaka kiweke mikakati ya kujiimarisha ili kiepuke wimbi linalokikumba la wanachama na viongozi kukimbia uongozi umesema kiko imara na hakiyumbishwi

Dk.Slaa bado ‘amtesa’ Kikwete

Mwandishi Wetu

HALI ya nchi bado ni tete kutokana na baadhi ya wafuasi wa aliyekuwa mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk.

CCM dhaifu mtaji imara wa urais CHADEMA, CUF

Evarist Chahali

NIANZE makala hii kwa kutoa salamu za pongezi kwa jarida hili la Raia Mwema ambalo limetimiza miaka minne tangu kuanzishwa Oktoba 30, 2007.

CHADEMA kuwaponza Rostam, Lowassa CCM

Mwandishi Wetu

TISHIO la kuimarika kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) linaelekea kuwaponza baadhi ya wanasiasa wazito ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), akiwamo Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowa

Kwa nini Lowassa na mabilioni yake makanisani ahofie nguvu ya umma?

Evarist Chahali

NIANZE makala hii kwa kuwasilisha salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Mbunge wa Viti Maalumu (CHADEMA), Regia Mtema.

CHADEMA isidhani inachofanya sasa ni jambo jipya

Lula wa Ndali Mwananzela
KUNA  msemo kwenye kitabu cha Mhubiri kuwa ‘hakuna kipya chini ya jua’, kwamba lile ambalo linatokea limewahi kutokea na lile ambalo tunadhani ni jipya kumbe tayari ni la zamani

Wabunge wa CHADEMA wameboronga au wamelonga?

Deusdedit Jovin

WANASHERIA wote walio na maarifa timamu hapa Tanzania na duniani kwa ujumla wanakubaliana angalau katika jambo moja muhimu kuhusu uendeshaji wa nchi.

CHADEMA, wanaharakati kupima mabavu ya dola

Waandishi Wetu
Viongozi wa CHADEMA kwenye maandamano

HALI ya kujaribu kupimana ubavu kati ya vyombo vya dola na baadhi ya wanasiasa sasa ni dhahiri

Pages

Subscribe to CHADEMA