CHADEMA

CHADEMA sasa yaliwa ‘njama’

Mwandishi Wetu

MBINU zimeandaliwa kuhakikisha Kamati nyeti za Bunge, hasa Kamati ya Hesabu za Mashirika ya Umma, iliyokuwa ikiongozwa na Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe haziwi mikononi mwa wabunge wa C

Maaskofu kuivaa Tume ya Katiba

Mwandishi Wetu
Jaji Warioba, kupitia Tume ya Mabadiliko ya Katiba amepanga kukutana na maskofu sambamba na Baraza la Waislamu Tanzania - BAKWATA

Kimbunga CHADEMA, chazua kiwewe CCM

Waandishi Wetu
Upepo mkali unazidi kuvuma miongoni mwa wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kubebwa na upepo wa mageuzi

Kasi ya CHADEMA yaizindua CCM

Waandishi Wetu

CHANGAMOTO za wabunge wa upinzani wakiongozwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), zimefanikisha kuwazindua wenzao wa Chama cha Mapinduzi (CCM) ambao wiki hii wameamua kuigomea bajeti

CHADEMA yakana kubeba mafisadi

Waandishi Wetu

WAKATI watuhumiwa wa ufisadi ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) wakielezwa kuwa wanajipanga kupinga uamuzi wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) wa kuwataka wajiuzulu au watimuliwe, Chama cha Demokr

Bila utafiti ni uvivu wa kufikiri II

Wilbroad Slaa

Kama tulivyoahidi wiki iliyopita, tunaendelea na sehemu nyingine ya makala ya Dk.

Tarime kuna tatizo na tatizo si CHADEMA, ni Barrick

Lula wa Ndali Mwananzela

TATIZO la Tarime si CHADEMA. Naam, lipo tatizo Tarime na ni tatizo la muda mrefu sana kwa yeyote mwenye kufuatilia historia ya eneo hilo.

Migogoro yatishia uhai wa CHADEMA

Deus Bugaywa
PAMOJA na kuwa na nafasi nzuri ya kuchukua nafasi ya Meya wa Halmashauri Mpya ya Manispaa ya Ilemela, jijini Mwanza, nafasi hiyo imekiingiza Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika mgogoro ambao unatishia hadhi na heshima

People’s Power yaipa ushindi CHADEMA Kanda ya Ziwa

Mwandishi Wetu

PENGINE matokeo ya ubunge katika uchaguzi wa Jumapili katika Kanda ya Ziwa yatakuwa yamewashangaza wengi kutokana na kutotarajiwa kabisa, hasa katika Majimbo ya Ukerewe na Ilemela mkoani Mwanza amb

Kwa kuvunja bodi ya mikopo elimu ya juu CHADEMA watapeta!

Lula wa Ndali Mwananzela

MOJAWAPO ya ahadi zilizonivutia sana kwenye Ilani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo  (CHADEMA) nikilinganisha na ilani za vyama vingine vinavyogombea uchaguzi huu ni suala la uchangiaji

Pages

Subscribe to CHADEMA