MBINU zimeandaliwa kuhakikisha Kamati nyeti za Bunge, hasa Kamati ya Hesabu za Mashirika ya Umma, iliyokuwa ikiongozwa na Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe haziwi mikononi mwa wabunge wa C
CHANGAMOTO za wabunge wa upinzani wakiongozwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), zimefanikisha kuwazindua wenzao wa Chama cha Mapinduzi (CCM) ambao wiki hii wameamua kuigomea bajeti
WAKATI watuhumiwa wa ufisadi ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) wakielezwa kuwa wanajipanga kupinga uamuzi wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) wa kuwataka wajiuzulu au watimuliwe, Chama cha Demokr
PAMOJA na kuwa na nafasi nzuri ya kuchukua nafasi ya Meya wa Halmashauri Mpya ya Manispaa ya Ilemela, jijini Mwanza, nafasi hiyo imekiingiza Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika mgogoro ambao unatishia hadhi na heshima
PENGINE matokeo ya ubunge katika uchaguzi wa Jumapili katika Kanda ya Ziwa yatakuwa yamewashangaza wengi kutokana na kutotarajiwa kabisa, hasa katika Majimbo ya Ukerewe na Ilemela mkoani Mwanza amb
MOJAWAPO ya ahadi zilizonivutia sana kwenye Ilani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) nikilinganisha na ilani za vyama vingine vinavyogombea uchaguzi huu ni suala la uchangiaji
SIKU zote nimekuwa mwangalifu kuweka mbele wazo au hisia zangu katika maneno niyatamkayo. Kwa hakika, nimeifanya kuwa ni desturi yangu kuutilia shaka ‘muziki’ wa maneno matupu kutoka kwa wazungumzaji
Leopold Senghor na maneno
Maoni ya Wasomaji
Jamani kama ni kutoa maoni basi toeni kwa kiswahili. Kiingereza gani alichotumia kutoa maoni huyo hapo juu!!! Huo ni ujuha. Kuhusu matokeo, nadhani serikali imelenga kufurahisha wapiga kura.