WAHADHIRI waliamini kuwa Nyerere akija chuoni kuzungumza na sisi, atatunyamazisha. Nyerere alizungumza kwa nusu saa tu, na kisha kukaribisha maswali. Mimi nilikuwa wa kwanza kumuuliza swali lililohusu Ujamaa. Nilimwambia kuwa Ujamaa umepitwa na wakati. Wahadhiri walidhani Nyerere angenichamba kwa kuuliza swali lile lakini yeye alinijibu kwa utulivu