WAKATI hali ya umeme nchini ikiwa bado tete, barua ya siri kutoka kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma (POAC), Zitto Kabwe kwenda kwa Waziri wa Nishati na Madini, Wi
RAIS Jakaya Kikwete ametofautiana na kauli ya Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja, pamoja na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema, akikubaliana na wabunge wa Chama cha Map
WAKATI Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) likielezwa kuanza kuwasha mitambo ya Dowans, mmiliki wa kampuni hiyo aliyezua utata, Sulaiman Mohammed Yahya Al Adawi, ni Mzanzibari aliyeukana uraia w
Wiki iliyopita, Oktoba 15, Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA na mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe alikutana na waandishi wa habari, mjini Dar es Salaam, kuzungumzia suala la Dowan
Inaelekea Serikali imeshikwa pabaya, na imekubali. Vinginevyo utaielezaje hali aliyokuwa nayo Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja wakati akieleza hatua ya Serikali ya kukubaliana na Kamati ya Shellukindo kuwa mitambo ya Dowans haistahili kununuliwa?
MBUNGE wa Vunjo (CCM), Aloyce Bent Kimaro anasema kuwa katika zama hizi za uwazi na ukweli ni muhimu taifa likaelezwa kampuni inayomiliki mitambo ya kufua umeme wa dharura ya Dowans ni mali ya
KATIKA misemo ya mitaani, buzi ni mwanamume ambaye anajikuta akiamini mapenzi motomoto kutoka kwa mtu ambaye kwake anachotaka ni mafanikio ya kihali na mali.
HAKUNA haja kwa Watanzania kusubiri nchi iingie gizani ndipo waamue kama alivyosema Mkurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Dk. Idris Rashid.
ACHA kada ya watawala duniani itetemeshwe na mapinduzi ya kikomunisti. Walalahoi hawana cha kupoteza isipokuwa minyororo yao. Walalahoi wana dunia ya kuikomboa; wafanyakazi wa nchi zote unganeni
Karl Marx na walalahoi
Maoni ya Wasomaji
Somo lako nimelielewa sana mzee wangu ULIMWENGU;unachokisema sio kigeni hata kidogo masikioni mwa hawa watawala wetu,lakini imekua kila siku unazungumza wanazungumza tunazungumza lakini hawa wanaot