EPA

Ushahidi wa waliokwiba EPA

Waandishi Wetu

TAKRIBAN mwezi mmoja tangu aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Dk. Daudi Ballali (65) afariki dunia,  kile kinachoitwa wosia

Maofisa BoT kutaja vigogo

Mwandishi Wetu

MAOFISA wa Benki Kuu (BoT) ambao wanatajwa kuhusika katika mchakato wa fedha za Akaunti ya Malipo ya Madeni ya Nje (EPA) katika benki hiyo, sasa wanaelezwa kujiandaa kupasua bomu kwa kuwataja vi

CCM yabariki ufisadi

Mwandishi Wetu

CHAMA cha Mapinduzi (CCM), wiki iliyopita, kilipoza tuhuma zote kubwa za ufisadi zilizowagusa wanachama wake katika hatua inayotafsiriwa kuwa ni kujitoa katika vita dhidi ya uoza huo, Raia Mwema

EPA sasa ni kitendawili

Waandishi Wetu

WINGU limetanda kuhusu hatima ya uchunguzi wa wizi katika Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) ndani ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kutokana na kwamba muda wa uchunguzi umepita lakini hakuna taarifa r

Siri mpya ya ufisadi Benki Kuu yaanikwa

Mwandishi Wetu

WARAKA unaoonyesha siri ya matukio ya ufisadi ndani ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) umepatikana ukionyesha kwamba, sehemu kubwa ya watuhumiwa waliofikishwa mahakamani walitokana na mabadiliko yal

Warioba, kafara EPA kushitakiwa

Waandishi Wetu

KUNA uwezekano mkubwa  kwamba Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba akaingizwa matatani kutokana na uchunguzi unaofanyika ndani ya kampuni ya uchimbaji dhahabu ya Mwananchi Gold, Raia Mwema i

Vigogo wa Kagoda, Jeetu Patel waogopwa

Waandishi Wetu

ZIKIWA zimebakia siku mbili kwisha kwa muda uliotolewa kwa timu ya Rais iliyokabidhiwa jukumu la kuchunguza wizi wa fedha katika Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) ndani ya Benki Kuu ya Tanzania, wa

Mafisadi wa EPA hakuna wa kupona

Mwandishi Wetu

SIKU chache baada ya Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP) kukabidhiwa majalada ya watuhumiwa wa wizi wa fedha katika Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT), imefaham

Siri mpya ya EPA yaiumbua Kagoda

Waandishi Wetu

WAKATI watuhumiwa 20 wakiwa, hadi juzi, wamekwisha kupandishwa kizimbani kwa tuhuma za kuhusika na wizi wa fedha katika Akaunti ya Malipo ya Madeni ya Nje (EPA) ndani ya Benki Kuu (BoT), ushahid

Wezi EPA waanikwa

Mwandishi Wetu

SIKU chache baada ya Rais Jakaya Kikwete, kuongeza muda wa kikosi kazi (task force) kinachochunguza sakata la wizi wa mamilioni ya fedha ndani ya Benki Kuu (BoT) kupitia Akaunti ya Malipo ya Made

Pages

Subscribe to EPA