Katiba Mpya

Anguko la mafisadi na watawala dhalimu

Mwandishi Wetu

MJADALA wa Katiba mpya ambao unazidi kupamba moto kwa kasi unaelekea kuwakosesha raha watawala wahafidhina ndani ya Serikali ya Tanzania inayoongozwa na Chama cha Mapinduzi (CCM) kwani ni mjadala

Wabaya waanza hujuma

Waandishi Wetu
Baadhi ya viongozi wa kisiasa wameanza harakati za kutaka kuvuruga mchakato wa Katiba mpya ambao umekuwa ukisubiriwa na wananchi

Profesa Baregu amgomea Slaa

Mayage S. Mayage
"If I'm told to choose between my party and my country, I will choose my country"

Bunge kuingiza viraka ‘bandia’

Mwandishi Wetu
Freeman Mbowe na Rais Kikwete wakijadili Katiba mpya
Imebainika kuwa mapendekezo ya marekebisho ya Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ya mwaka 2011 yana "matundu" mengi yanayompa madaraka makubwa Rais

Katiba ni mapambano, haipatikani kwa hiari

Joseph Mihangwa

DEMOKRASIA inahusisha haki kuu tatu:  haki ya kushiriki katika Serikali, haki ya kupiga kura na kuchaguliwa, na haki ya kupata huduma sawa za serikali.

Mabadiliko Katiba Zanzibar: Yanaimarisha au yanabomoa Muungano? III

Joseph Mihangwa

KATIKA sehemu ya kwanza na ya pili ya makala haya, tumeona chimbuko la Muungano, muundo wake na jinsi ulivyoendeshwa na kusimamiwa chini ya katiba mbali mbali.  Kwa kuongozwa na fikra na azma ya

Katiba mpya pekee haitoshi bila wananchi kufanya mapinduzi

Ayub Rioba

HATIMAYE wajumbe wa Tume ya kuratibu maoni ya wananchi kuhusu katiba mpya wameapishwa na wanatarajiwa kuanza kazi rasmi mwezi Mei.

Tume ya Warioba isije ikawa kama Tume ya Warioba

Jenerali Ulimwengu
KATIKA makala ya wiki jana, pamoja na mambo mengine, nilitoa pole kwa tume ya Jaji Warioba iliyopewa majukumu mazito yanayohusiana na ukusanyaji na uratibu wa maoni ya wananchi juu ya Katiba mpya. Nilisema kwamba ningeieleza hiyo pole yangu. Napenda kuirejea

Ilani ya madai ya wanawake katika Katiba mpya: Tume itasikiliza?

Privatus Karugendo
ANGELLAH Jasmine Kairuki, Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Mei 8, mwaka huu, alizindua Ilani ya Madai ya Wanawake ndani ya Katiba Mpya katika hafla iliyofanyika kwenye viwanja vya TGNP Mabibo, Dar es Salaam

Pages

Subscribe to Katiba Mpya