Katiba Mpya

Wasomi walonga kuhusu Katiba mpya

Mwandishi Wetu

Januari 15, mwaka 2011, Umoja wa Wanataalama Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDASA) waliandaa kongamano la Katiba.

Usawa wa marais hawa wawili utaishia kwenye mchakato wa Katiba mpya tu?

Njelu Kasaka

MWAKA jana nilipoandika makala kwenye gazeti moja la kila wiki kuhusu mchakato wa kuandika Katiba mpya ya Tanzania, nilisema moja ya mambo muhimu ili kupata Katiba bora ni usawa wa washiriki.

Tukifanya upuuzi juu ya Katiba, tutakuwa tunarudia upuuzi juu ya ‘kuhamia Dodoma’

Jenerali Ulimwengu

HADI sasa, ujumbe ambao nimekuwa nikijaribu kuwasilisha ni kwamba nchi yetu imekumbwa na mitafaruku ya kutoelewana miongoni mwa watu wake, na kwamba mitafaruku hii, ikiangaliwa kwa makini, inatu

Katiba, tumeanza na mguu mbaya

Maggid Mjengwa

NAUONA mwelekeo mbaya wa  upepo wa kisiasa nchini mwetu. Nina shaka kubwa, naamini tuko wengi wenye shaka na mwelekeo wa nchi yetu tunayoipenda.

Migongano ya kikatiba ilizaa Azimio la Arusha

Joseph Mihangwa
“WALE wenye bahati ya kupata elimu, wanao wajibu wa kulipa jasho ambalo wengine wamelitolea. Ni sawa na mtu aliyepewa chakula chote katika kijiji chenye njaa, ili apate nguvu za kwenda kuhemea katika sehemu zilizo mbali. Mtu huyo akikipokea chakula hicho, na halafu asiwaletee msaada ndugu zake, basi yeye ni msaliti.”

Wataka Tume ya Katiba isiyumbishwe

Deus Bugaywa
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Mt. Augustine (SAUT) Dk. Charles Kitima
BAADA ya kuibuka taarifa kuwa ziko mbinu za wanasiasa kuhujumu Tume ya Katiba, wanazuoni na wanaharakati wameibuka na kuitaka tume na wananchi kutoyumbishwa

Hofu ya CCM imeota mbawa?

Godfrey Dilunga
Tunakwenda kuchambua namna utaifa wetu utakavyolindwa kupitia mifumo imara ya utawala usiozingatia utashi pekee wa mkuu wa nchi

Mchakato huu wa Katiba ni haramu – chini ya ibara ya 98

Lula wa Ndali Mwananzela

NAOMBA nipendekeze kuwa mchakato mzima ambao umependekezwa na Chama cha Mapinduzi na kupitishwa na sehemu kubwa ya wabunge ili kusimamia mchakato wa kuelekea Katiba Mpya hauna msingi wa kikatiba,

Tuanze matumizi ya Katiba mpya kifikra

Godfrey Dilunga

NIMESHUHUDIA na kusikiliza mjadala katika Kongamano la Katiba mpya, lililoandaliwa na Jumuiya ya Wanataaluma wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDASA).

Katiba mpya na nguvu ya Taifa

Ibrahim Mkamba

HAKUNA ubishi kwamba suala linalotawala hisia za Watanzania kwa sasa ni uandikwaji wa Katiba yao wenyewe ya kwanza kabisa.

Pages

Subscribe to Katiba Mpya