UNAJUA Mzee Karume (mumewe) alipokuwa hai alikuwa hataki masuala ya fedha na sarafu kuwa ya Muungano. Mwalimu Julius Nyerere aliwahi kumtuma Waziri wake wa Fedha, Amir Jamal kuja Zanzibar lakini Mzee Karume alikataa kutoa fedha za Zanzibar kwenda Bara kwenye Benki Kuu