KAMA taarifa ya madaktari wa Rais ni ya kuaminiwa (ilivyo prima facie), basi wananchi na wana CCM hawana budi kujiuliza kama Rais Kikwete atakuwa na sababu ya kugombea tena mwakani au la
SIKU chache tu baada ya kutuma ujumbe kwamba akipita mwakani hatabeba mawaziri wazee, Rais Jakaya Kikwete ameanza kutekeleza azma hiyo kwa kuwatangazia mawaziri wake kwamba amechoshwa nao kwa ku
CHAMA cha Mapinduzi (CCM) bado kinasukwasukwa, na safari hii tatizo kubwa ni hatua ya Jumuiya ya Vijana wa chama hicho (UVCCM) kutangaza kumtema mwenzao, Nape Nnauye, Raia Mwema imeambiwa.
WAJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi (CCM/NEC) kutoka Zanzibar, wakiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, Zanzibar ambaye pia ni Rais wa Zanzibar, Amani Abeid Karum
MGOMBEA urais kwa Chama cha Mapinduzi (CCM) Jakaya Kikwete amebadili mwelekeo wa kampeni zake kwa kuanza kumshambulia mgombea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Dk.
Tukiweka utani wote pembeni, kejeli zote pembeni, na dhihaka zote pembeni, bado tunakabiliwa na swali moja muhimu: Ni kwanini Rais Jakaya Kikwete hawezi kukaa Dar kwa angalau wiki tatu mfululizo
MIEZI michache kabla ya Uchaguzi Mkuu, Rais Jakaya Kikwete ameingia katika mgogoro mkubwa na wafanyakazi wanaodai amedanganywa na wasaidizi wake kwa kutumia baadhi ya taarifa zisizo sahihi katik
WAKATI Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) ukitarajia kupata mwenyekiti wake mpya wiki hii, kumekuwapo na hujuma dhidi ya demokrasia itakayofanikisha mchakato wa kumpata mwenyekiti huy
KATIKA maisha yangu nimejifunza kwamba asili ya ujasiri si ukosefu wa woga; bali ni ushindi dhidi ya woga. Shujaa si yule anayeona woga; bali yule anayeushinda woga
Madiba na uoga
Maoni ya Wasomaji
Hii serikali kweli haina huruma na haidhamini wananchi wake. inaelekea GPSA imetekwa na mafisadi papa ambao wanataka kuwanyima fursa wafanya biashara wenye mitaji midogo kujiendeleza.