Kikwete

Kikwete anusurika, awang’oa wenzake

Waandishi Wetu
Mjumbe wa NEC ya CCM, Edward Lowassa
MIPANGO ya siri iliyoandaliwa kumng'oa Rais Jakaya Kikwete kwenye uenyekiti wa Chama cha Mapinduzi imekwama

Kikwete agombee tena au asigombee?

Lula wa Ndali Mwananzela
KAMA taarifa ya madaktari wa Rais ni ya kuaminiwa (ilivyo prima facie), basi  wananchi na wana CCM hawana budi kujiuliza kama Rais Kikwete atakuwa na sababu ya kugombea tena mwakani au la

Mtikisiko wazuka Baraza la Mawaziri

Mwandishi Wetu

SIKU chache tu baada ya kutuma ujumbe kwamba akipita mwakani hatabeba mawaziri wazee, Rais Jakaya Kikwete ameanza kutekeleza azma hiyo kwa kuwatangazia mawaziri wake kwamba amechoshwa nao kwa ku

Wakubwa sasa matumbo joto

Mwandishi Wetu
Rais Jakaya Kikwete
Mali zao kutangazwa hadharani Desemba. Kikwete aiga mfumo huo kwa Rais Obama

Kikwete majaribu

Mwandishi Wetu

CHAMA cha Mapinduzi (CCM) bado kinasukwasukwa, na safari hii tatizo kubwa ni hatua ya Jumuiya ya Vijana wa chama hicho (UVCCM) kutangaza kumtema mwenzao, Nape Nnauye, Raia Mwema imeambiwa.

Karume amkwaza Kikwete

John Bwire

WAJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi (CCM/NEC) kutoka Zanzibar, wakiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, Zanzibar ambaye pia ni Rais wa Zanzibar, Amani Abeid Karum

Dk. Slaa amnyima Kikwete usingizi

Mwandishi Wetu

MGOMBEA urais kwa Chama cha Mapinduzi (CCM) Jakaya Kikwete amebadili mwelekeo wa kampeni zake kwa kuanza kumshambulia mgombea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Dk.

Safari za Kikwete nje utata mtupu

Lula wa Ndali Mwananzela

Tukiweka utani wote pembeni, kejeli zote pembeni, na dhihaka zote pembeni, bado tunakabiliwa na swali moja muhimu: Ni kwanini Rais Jakaya Kikwete hawezi kukaa Dar  kwa angalau wiki tatu mfululizo

Rais kadanganywa

Mwandishi Wetu

MIEZI michache kabla ya Uchaguzi Mkuu, Rais Jakaya Kikwete ameingia katika mgogoro mkubwa na wafanyakazi wanaodai amedanganywa na wasaidizi wake kwa kutumia baadhi ya taarifa zisizo sahihi katik

Wanawake wamfitinisha Waziri Simba na Kikwete

Mwandishi Wetu

WAKATI Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) ukitarajia kupata mwenyekiti wake mpya wiki hii, kumekuwapo na hujuma dhidi ya demokrasia itakayofanikisha mchakato wa kumpata mwenyekiti huy

Pages

Subscribe to Kikwete