HULKA ya wazi kabisa ya Waafrika ni kusahau haraka uonevu wanaofanyiwa. Utawala wa kikoloni ulimfunga kikatili Jomo Kenyatta kwa kosa la kuanzisha Mau Mau, na hata kumuita ‘kiongozi wa giza na muuaji’; lakini baada ya kuachiwa huru, yeye alisamehe yote, na hata kuandika kitabu kinachoitwa Suffering Without Bitterness