Kikwete

Mizengwe ziara ya Kikwete Mbeya

Waandishi Wetu

WAKATI Rais Jakaya Kikwete anaanza ziara mkoani Mbeya leo Jumatano, wasiwasi umetanda miongoni mwa wananchi juu ya kuwapo harakati za kufanya fujo.

Kikwete mwenyewe ni gamba CCM

Msomaji Raia

KAZI ya Chama cha Mapinduzi (CCM)  kujivua gamba yasemekana imekamilika huko Dodoma mwanzoni mwa wiki hii.

Miaka miwili ya Kikwete Ikulu: Kuna matumaini?

Johnson Mbwambo

ZIMEBAKI siku chache tu Rais Jakaya Kikwete atatimiza miaka miwili kamili tangu tulipomtwisha kazi ngumu ya kuliongoza taifa letu; nami nashawishika kujiunga na Watanzania

Tusidanganyane, wizi wa kura upo

Privatus Karugendo

WIKI iliyopita Rais Jakaya Kikwete akijibu swali juu ya hofu ya wizi wa kura katika uchaguzi mkuu uliofanyika Jumapili, Oktoba 31, aliloulizwa kwenye mazungumzo yake na vyombo ‘teule&rsquo

JK adanganywa Mbeya

Mwandishi Wetu
WANANCHI wanaendelea kutafakari matukio kadhaa yaliyojiri wakati wa awamu ya kwanza ya kampeni ya mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Jakaya Kikwete, katika Mkoa wa Mbeya alikopita jum

Kikwete ‘awalea’ vigogo wanaomhujumu kisiasa

Mwandishi Wetu

MWENYEKITI wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete, amezungukwa na mtandao wa vigogo wakiwamo wanaotuhumiwa kwa ufisadi, wanaodaiwa kuzidi kujenga kiburi ndani ya chama na hata serikalin

Uswahiba huu wa Rais Kikwete na Bw. Sinclair!

Lula wa Ndali Mwananzela

KUNA tabia imeanza kuzoeleka na ambayo kwa hakika haina budi kukemewa, kubezwa, kupingwa, na kukataliwa na kila Mtanzania mwenye kupenda utawala wa uwazi na ushirikishwaji wa wananchi katika mjad

Barua ndefu ya wazi kwa Jakaya VI

Jenerali Ulimwengu

Mwaka 2005 siku chache baada ya Jakaya Kikwete kushika madaraka ya Rais wa Tanzania kutokana na uchaguzi uliompa ushindi wa Oktoba mwaka huo, nilimwandikia Barua Ndefu ya Wazi kupitia katika gazeti

Kikwete amvuruga CAG

Mwandishi Wetu
Ludovick Utouh na Rais Kikwete
RAIS Jakaya Kikwete anatajwa kuwa amekuwa akipuuza ushauri wa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Ludovick Utouh

Pages

Subscribe to Kikwete