Kilango
TUMEMSIKIA bungeni Mheshimiwa Anne Kilango akizungumza kwa uchungu juu ya ufisadi. Ametaka fedha za EPA zilizochotwa na mafisadi zirudishwe kwa wananchi.
ANNE Kilango Malecela, Mbunge wa Same Mashariki, akichangia hotuba ya Bajeti Waziri wa Fedha na Uchumi Mustafa Mkulo, alijifananisha na mwanafalsafa wa zamani Socrates.
SIYO siri kwamba wapo wabunge ambao sasa wakisimama bungeni, kuuliza swali au kuchangia hoja yoyote, wabunge karibu wote hutulia na waandishi wa habari wanaoripoti habari za bungeni huwa makini n
Anne Kilango Malecela aliwasha moto mkali wakati akichangia katika mjadala wa Bajeti ya Mapato na Matumizi ya Serikali Juni 19 mwaka huu bungeni Dodoma.
NAMPONGEZA Mbunge wa Same Mashariki, Anne Kilango Malecela kwa msimamo thabiti na mchango wake wa mawazo bungeni.
MCHAKATO wa kura za maoni kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ulimalizika Jumapili huku katika Mikoa ya Kanda ya Kaskazini, kama ilivyo kwa maeneo mengine nchini, ukiacha mchanganyiko wa furaha na sham
Wasome zaidi Waandishi wa Raia Mwema