MTOTO wa Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa anayeitwa Frederick Lowassa anachunguzwa na Kitengo Maalumu cha Polisi wa Kimataifa wa Uingereza wanaofuatilia utata wa uhamishaji fedha kutoka
HATA kama tuhuma za kampuni hewa ya Richmond zingemnusuru, aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa, asingefika mbali, kwa vile alikwisha kujitengenezea maadui wengi ndani ya Chama cha Mapinduzi (C
UAMUZI wa Halmashauri Kuu (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kujivua gamba umekuwa ukipiganiwa na uongozi mpya wa chama hicho, akiwamo Wilson Mukama, Katibu Mkuu mpya huku taarifa zikisema kuna
HABARI iliyoihusisha familia ya Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa, imeibua utata mkubwa baada ya kuibuka kwa vitisho vilivyosababisha kuzuiwa kuchapwa kwa gazeti la Raia Mwema
KIWEWE cha kuanzishwa kwa Chama Cha Jamii (CCJ) kinachohusishwa na baadhi ya vigogo maarufu ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinashika kasi huku kamati ya wazee iliyoongozwa na rais mstaafu, Ali Hassan Mwinyi, ikishindwa kumaliza makundi kama ilivyokusudiwa
NARUDIA tena, kipindi cha miezi 18 ijayo kitakuwa kipindi kigumu sana kwa kila mwananchi. Chama na Serikali vinanuia kuusawazisha mzigo huo ili kila mmoja wetu aubebe kwa kadiri inavyowezekana. Kila mmoja wetu atabeba sehemu yake ya mzigo huo
Nyerere na mzigo
Maoni ya Wasomaji
Somo lako nimelielewa sana mzee wangu ULIMWENGU;unachokisema sio kigeni hata kidogo masikioni mwa hawa watawala wetu,lakini imekua kila siku unazungumza wanazungumza tunazungumza lakini hawa wanaot