Lowassa

Wabunge 20 CCM wamtega Kikwete

Mwandishi Wetu
Mwenyekiti wa CCM, Jakaya Mrisho Kikwete
CHAMA cha Mapinduzi (CCM) sasa kipo hatarini kukimbiwa na kundi la wabunge zaidi ya 20

Familia ya Lowassa yapelelezwa London

Waandishi Wetu

MTOTO wa Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa anayeitwa Frederick Lowassa anachunguzwa na Kitengo Maalumu cha Polisi wa Kimataifa wa Uingereza wanaofuatilia utata wa uhamishaji fedha kutoka

Lowassa alichafuka zamani

Waandishi Wetu

HATA kama tuhuma za kampuni hewa ya Richmond zingemnusuru, aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa, asingefika mbali, kwa vile alikwisha kujitengenezea maadui wengi ndani ya Chama cha Mapinduzi (C

Lowassa, Rostam waandaa uasi CCM

Waandishi Wetu

UAMUZI wa Halmashauri Kuu (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kujivua gamba umekuwa ukipiganiwa na uongozi mpya wa chama hicho, akiwamo Wilson Mukama, Katibu Mkuu mpya huku taarifa zikisema kuna

Taarifa ya Lowassa kuchunguzwa balaa

Mwandishi Wetu

HABARI iliyoihusisha familia ya Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa, imeibua utata mkubwa baada ya kuibuka kwa vitisho vilivyosababisha kuzuiwa kuchapwa kwa gazeti la Raia Mwema

Kikwete anusurika, awang’oa wenzake

Waandishi Wetu
Mjumbe wa NEC ya CCM, Edward Lowassa
MIPANGO ya siri iliyoandaliwa kumng'oa Rais Jakaya Kikwete kwenye uenyekiti wa Chama cha Mapinduzi imekwama

Uasi sasa wazidi kuizingira CCM

Waandishi Wetu
Wilson Mukama, Katibu Mkuu wa CCM
MKUTANO wa viongozi wa juu wa CCM unaoendelea Dar es Salaam umekumbwa na jaribio la kufanya uasi dhidi ya baadhi ya viongozi wa kitaifa wa chama hicho

Mbowe amuweka Lowassa njia panda

Mwandishi Wetu
James ole Millya akitangaza kuhamia CHADEMA

KUHAMIA CHADEMA kwa James ole Millya kumeibua taarifa ya kuwa yamekuwapo mazungunzo ambayo yanaweza kuwa yemewakutanisha Mbowe na Lowassa

Mbunge Wenje wa CHADEMA matatani

Waandishi Wetu
MBUNGE wa Nyamagana (CHADEMA), Ezekia Wenje
MBUNGE wa Nyamagana, Ezekia Wenje, ameingia matatani akituhumiwa kumtishia kwa bastola mwanachama mwenzake

Sitta na Lowassa wagongana tena

Mwandishi Wetu
KIWEWE cha kuanzishwa kwa Chama Cha Jamii (CCJ) kinachohusishwa na baadhi ya vigogo maarufu ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinashika kasi huku kamati ya wazee iliyoongozwa na rais mstaafu, Ali Hassan Mwinyi, ikishindwa kumaliza makundi kama ilivyokusudiwa

Pages

Subscribe to Lowassa