Lowassa

Wabunge 20 CCM wamtega Kikwete

Mwandishi Wetu
Mwenyekiti wa CCM, Jakaya Mrisho Kikwete
CHAMA cha Mapinduzi (CCM) sasa kipo hatarini kukimbiwa na kundi la wabunge zaidi ya 20

Kikwete anusurika, awang’oa wenzake

Waandishi Wetu
Mjumbe wa NEC ya CCM, Edward Lowassa
MIPANGO ya siri iliyoandaliwa kumng'oa Rais Jakaya Kikwete kwenye uenyekiti wa Chama cha Mapinduzi imekwama

Uasi sasa wazidi kuizingira CCM

Waandishi Wetu
Wilson Mukama, Katibu Mkuu wa CCM
MKUTANO wa viongozi wa juu wa CCM unaoendelea Dar es Salaam umekumbwa na jaribio la kufanya uasi dhidi ya baadhi ya viongozi wa kitaifa wa chama hicho

Lowassa atinga Kanisa Katoliki

Mwandishi Wetu
Edward Lowassa, Mhashamu Ruwa'Ichi

Edward Lowassa ametetewa na kiongozi wa Kanisa Katoliki kuwa ni mtu mwema na mwadilifu

Lowassa apambana

Waandishi Wetu
Edward Lowassa
UPEPO wa hali ya kisiasa ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) unazidi kuvuma, na sasa Edward Lowassa na Andrew Chenge, wamebanwa na wanapambana

Lowassa amtisha Kikwete kujiokoa

Waandishi Wetu
Edward Lowassa na Frederick Sumaye
WAKATI Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, akimgeuzia kibao Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi, Rais Jakaya Kikwete

Vigogo ‘urais’ 2015 wakimbilia Kanisa

Mwandishi Wetu
Samuel Sitta, Edward Lowassa, Frederick Sumaye
MTANDAO wa makanisa nchini, yakiwamo yale makubwa, sasa  yameanza kujinufaisha na wanasiasa

Kwa nini Lowassa na mabilioni yake makanisani ahofie nguvu ya umma?

Evarist Chahali

NIANZE makala hii kwa kuwasilisha salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Mbunge wa Viti Maalumu (CHADEMA), Regia Mtema.

Swahiba wa kisiasa wa Lowassa atoswa Arusha

Paul Sarwatt

SAFARI ya kisiasa ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UV-CCM) mkoa wa Arusha James Millya,  huenda ikafikia tamati ndani ya chama hicho baada ya Kamati ya Maadili na Kamat

Uamuzi wa Lowassa na mtazamo wa Nyerere kuhusu kujiuzulu

Aristariko Konga

“Kumbadili waziri, hata Waziri Mkuu, si jambo la ajabu. Anaweza kujiuzulu, anaweza kufukuzwa, na nchi isitikisike. Lakini huwezi kumtikisa Rais wa nchi bila kuitikisa nchi yenyewe.

Pages

Subscribe to Lowassa