CHAMA chetu (CCM) kwa historia ni chama cha ukombozi, chama cha wanyonge; lakini leo tuko njia panda. Ni wajibu wetu kuhakikisha kuwa CCM kinaendelea kuwa cha wanyonge kwa vitendo, na si kwa maneno matupu. Lazima tuhakikishe kuwa CCM hakipotezi sifa ya kuwa kimbilio la wanyonge