HUKU mambo yakiwa si shwari ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na Serikali, wiki hii Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard Membe, ametoboa siri kwamba tangu Rais Jakaya Kikw
CHAMA cha Mapinduzi (CCM)
jana kilimchagua tena Yusuf
Makamba kuwa Katibu Mkuu
lakini kikabadilisha Naibu Katibu
Mkuu (Bara), Mweka Hazina na Katibu
wa Uenezi katika mabadiliko
Hivi karibuni, Oktoba 7, Mwandishi Wetu, GODFREY DILUNGA, alifanya mahojiano na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, kuhusu masuala ya siasa nc
WIKI iliyopita Watanzania walimwona Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, akimwaga cheche kuitetea Serikali ya Tanzania dhidi ya uamuzi wa Waingereza.
KAMA alivyowahi kueleza William Shakespeare, bora kuwahi saa tatu mapema zaidi kuliko kuchelewa kwa dakika; Better three hours too soon than a minute too late.
HIVI karibuni nilimsikia Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania, Bernard Membe akihojiwa na BBC kuhusu mapinduzi ya kijeshi yaliyofanyika huko Niger, Afrika Magharibi.
Watu wote waliumbwa sawa. Haiwezekani kwa kikundi fulani cha watu kufaulu kuendelea kuwakandamiza watu wengine. Muumbaji huyo ambaye alituumba sawa atawapa nguvu wale ambao wanakandamizwa ili waweze kuwashinda wale walioamua kuwakandamiza wengine
Nyerere na wakandamizaji
Maoni ya Wasomaji
waandishi nao wanapiga kampeni badala ya kuleta habari sahihi