Mkapa

Wastaafu wala mabilioni sawa na wizara

Mwandishi Wetu
Kila mmoja azoa milioni 900 kwa mwaka. Mkapa naye afaidika na sheria aliyosaini

Waandishi wetu uchwara, hawawezi uliza maswali?

Ayub Rioba

NILIKUWA na dhamira ya kuendelea na mjadala wangu juu ya masuala muhimu ya kuyapa kipaumbele katika mchakato wa kuelekea uchaguzi mkuu, lakini wiki iliyopita alinipigia simu mtu mmoja aliyejitam

Aliyemtuhumu Mkapa ajibu mapigo

Francis Chirwa

MBUNGE wa Vunjo, Aloyce Bent Kimaro  (CCM), anaamini ametumia haki yake ya kidemokrasia  na wajibu wake kama mbunge kumtuhumu rais mstaafu, Benjamin Mkapa kuwa alifanya biashara Ikulu

JK na Ronaldo, Mkapa na waandishi wa nje!

Johnson Mbwambo

NILIJIZUIA mno nisiandike chochote kuhusu tukio la Jumanne ya wiki iliyopita ambapo Rais wetu, Jakaya Kikwete, ‘alizawadiwa’ jezi ya Ronaldo na Rais wa Klabu ya Real Madrid ya Hispan

Mkapa anatukumbusha ya nyuma

Privatus Karugendo

WASWAHILI wanasema yaliyopita si ndwele; lakini kwa vile Rais Mstaafu Benjamin Mkapa, ameamua kupanda tena jukwaani na kuendeleza siasa “uchwara” alizoziacha nyuma yake,

Mama Anna, ufisadi ni vitendo!

Lula wa Ndali Mwananzela

JE, waweza kumjua mtu kuwa ni fisadi kwa kuangalia mavazi yake? Je, fisadi anaweza kujulikana barabarani kwa kuangalia gari analoendesha?

Tunao waandishi uchwara na mahiri wa kutosha

Ayub Rioba

Leo nahitimisha mjadala wangu kuhusu kauli ya Rais Mstaafu Benjamin  Mkapa kwamba anaepuka kuzungumza na waandishi wa habari wa Tanzania kwa sababu ya upeo wao mdogo.

Kampeni Igunga: Rostam amtumia Mkapa

Waandishi Wetu

KAMPENI za uchaguzi mdogo Jimbo la Igunga zinazinduliwa mwishoni mwa wiki huku kukiwa na taarifa kwamba kuna mgawanyiko ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) juu ya ushiriki wa mbunge wa zamani wa j

Mkapa tusiyemjua: Haongei, anaongelewa

Maggid Mjengwa

"MKAPA kaongea !" Hicho chaweza kabisa kuwa kichwa cha habari katika moja ya magazeti yetu. Naam, katika miaka ya karibuni, Rais Mstaafu Benjamin Mkapa amekuwa kimya mno.

Kikwete, Mkapa na ‘talk shops’

Johnson Mbwambo

WIKI mbili hizi Rais wetu, Jakaya Kikwete amekuwa ni mtu bize kweli kweli. Bize akihudhuria mikutano mbalimbali ya kimataifa.

Pages

Subscribe to Mkapa