KATIKA sehemu ya kwanza ya makala hii, toleo lililopita, nilijadili mipango mbalimbali ya maendeleo ambayo ilibuniwa na kutekelezwa na nchi yetu tangu tupate Uhuru mwaka 1961.
NDUGU Lula, nimekuwa nikifuatilia makala zako kwenye gazeti la Raia Mwema kwa muda sasa. Nimejifunza na kufurahia sana makala zako kuhusu Muungano huu dhaifu, kati ya Tanganyika na Zanzibar
KATIKA sehemu ya kwanza ya makala haya ya gazeti hili, toleo lililopita, tuliona jinsi mkataba (Hati) wa Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar ulivyoandaliwa na kutiwa sahihi haraka haraka b
TUMEFIKA mahali na wakati ambapo yatupasa tuliseme lililo dhahiri; kila la kheri Zanzibar, bye bye Muungano! Hakuna sababu ya kupigania Muungano usiokuwapo; na Muungano usiokuwapo ambao pia ni dhaifu kupita kiasi haufai kutetewa hasa kama hauna watetezi
MARA ya mwisho nilipojiangalia nilijikuta bado nina akili timamu na uwezo wangu niliojaliwa na Mwenyezi Mungu wa kupambanua uongo kutoka kwenye ukweli bado ukiwapo.
WIKI iliyopita nilizungumzia kuhusu umuhimu wa nchi kama Zanzibar ya leo kuwa na siasa za umoja badala ya kuwa na siasa za mivutano. Hii ni mivutano yenye kutishia amani ya nchi na hupaliliwa na vyama vya kisiasa
WIKI iliyopita, Waziri wa Kwanza (First Minister, cheo ambacho ni kama Waziri Mkuu) wa Uskochi, Alex Salmond, alizindua kampeni za chama chake cha Scottish Nationalist Party (SNP