Mwakyembe

Mabingwa wafichua ‘kemikali’ hatari

Mwandishi Wetu
Naibu Waziri wa Ujenzi, Dk. Harrison Mwakyembe
Taarifa za awali zinabainisha kuwapo kwa 'kitu' kwenye ute ute ndani ya mifupa yake

Mabingwa wadhibiti ‘kemikali’ za hatari

Mwandishi Wetu
Dk. Harrison Mwakyembe
MADAKTARI bingwa wa India, wamefanikiwa kudhibiti "kemikali" hatari zilizobainika katika ute ute ndani ya mifupa ya Dk. Mwakyembe

Serikali yasita nini kuweka wazi ugonjwa wa Mwakyembe?

Johnson Mbwambo
 Naibu Waziri wa Ujenzi, Dk. Harrison Mwakyembe
Ni karibu miezi miwili sasa tangu Dk. Mwakyembe arejee kutoka India alikopelekwa kwa matibabu ya ugonjwa usiyojulikana kwetu

DCI Manumba amewasiliana na Wizara ya Afya ya nchi gani?

Evarist Chahali
MIONGONI mwa matukio ya kukumbukwa ya Bunge lililokuwa chini ya Spika wa zamani, Samuel Sitta ni tuhuma kwamba mmoja wa wabunge alifanya vitendo vya ushirikina.

Ya Mwakyembe na sumu, nani anaongopa?

Maggid Mjengwa

NIMEPATA kuandika kuwa  kupitia kitabu chake  cha Kusadikika, mwanafasihi Shaaban Robert anamwelezea mchwa anayekaribia kufa.

Ikithibitika, DCI aombe radhi taifa

John Bwire
FEBRUARI 18, mwaka huu, Naibu Waziri wa Ujenzi, Dk. Harrison Mwakyembe, alitoa taarifa yake kwa vyombo vya habari, ikiwa ni majibu kuhusu kilichoelezwa na Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Robert Manumba, mbele ya waandishi wa habari, Februari 17, mwaka huu

Ripoti ya Dk. Mwakyembe imetia chachu mabadiliko

Privatus Karugendo

NIMEKUWA nikipigiwa simu na wasomaji wangu kwamba niandike chochote kuhusiana na ripoti ya Dk. Harrison Mwakyembe kuhusu zabuni ya kampuni ambayo sasa tunajua kuwa ilikuwa hewa ya Richmond.

Mwandosya, mwakyembe waundiwa mzengwe

Mwandishi Wetu

HASIRA za wanamtandao waliojeruhiwa na sakata la Richmond sasa zimeelekezwa mkoani Mbeya kuhakikisha viongozi wawili maarufu mkoani humo, Profesa Mark Mwandosya na Dk.

Mwakyembe anapoficha mambo kulinda ‘heshima ya serikali’

Chesi Mpilipili

KUNA mambo kadhaa yanayofanywa na viongozi wa nchi hii ambayo ni kielelezo tosha cha jinsi kulivyo na ombwe la watu wanaostahili kweli kuwa na kuitwa viongozi wa wananchi.

Kizungumkuti Dowans

Mwandishi Wetu

RAIS Jakaya Kikwete ametofautiana na kauli ya Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja, pamoja na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema, akikubaliana na wabunge wa Chama cha Map

Subscribe to Mwakyembe