RAIS Jakaya Kikwete ametofautiana na kauli ya Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja, pamoja na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema, akikubaliana na wabunge wa Chama cha Map
FEBRUARI 18, mwaka huu, Naibu Waziri wa Ujenzi, Dk. Harrison Mwakyembe, alitoa taarifa yake kwa vyombo vya habari, ikiwa ni majibu kuhusu kilichoelezwa na Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Robert Manumba, mbele ya waandishi wa habari, Februari 17, mwaka huu
NIMEKUWA nikipigiwa simu na wasomaji wangu kwamba niandike chochote kuhusiana na ripoti ya Dk. Harrison Mwakyembe kuhusu zabuni ya kampuni ambayo sasa tunajua kuwa ilikuwa hewa ya Richmond.
KWANGU mimi tatizo kubwa linaloisumbua nafsi yangu ninalolipata ni shinikizo kubwa linaloendelea kuwekwa kwa familia yangu, shinikizo ambalo japo halielekezwi moja kwa moja kwangu, lakini linanizunguka saa 2
Sakharov na mateso
Maoni ya Wasomaji
Hapa kitu kinachonishangaza mbona hapo Loiliondo kuna makampun mengi ya uwindaji ya wazungu hayatajwi wala kulalamikiwa?au hapa mie naona kama kuna Propaganda fulani imeanzishwa na hao wazungu ili