Nyerere

Nani kama Mwalimu Nyerere?

Mwandishi Wetu
Mwalimu Julius Kambarage Nyerere
SEHEMU kubwa ya viongozi wakuu wa Serikali wamekuwa wakitenda kinyume cha hotuba ya kwanza ya Mwalimu Julius Nyerere

Nini kilichotokea kati ya Kolimba na Nyerere? IV

Godfrey Dilunga
WIKI iliyopita katika mfululizo wa makala hizi, nilirejea baadhi ya hoja za aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Horace Kolimba, katika kujibu mapigo dhidi ya ukosoaji wa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, kwake na wenzake ambao ni Rais wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi na aliyekuwa Waziri Mkuu, John Malecela, kupitia kitabu chake maarufu, Uongozi wetu na Hatima ya Tanzania.

Siku Wanyarwanda walipomwaga chozi wakimkumbuka Nyerere…!

Privatus Karugendo

TANGU mwaka 2000, Rwanda imekuwa ikiadhimisha kumbukumbu ya kifo cha Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

Kama si Nyerere, tusingekuwa na ombwe hili la uongozi!

Evarist Chahali

WIKI hii ninazungumzia jambo linaloweza kuwakera baadhi ya wasomaji wa safu hii; ninajaribu kumkosoa mwasisi wa Taifa letu, Mwalimu Nyerere na itikadi yake ya Ujamaa na Kujitegemea, na jinsi ili

Mwalimu Nyerere: Mwanaharakati mchochezi wa maasi matakatifu

Joseph Mihangwa

JANA Oktoba 14, Watanzania waliadhimisha miaka tisa ya kumbukumbu ya kifo cha Baba wa Taifa,  Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, aliyefariki katika Hospitali ya Mtakatifu Thomas, Mjini London, Ui

Rais Aboud Jumbe: Ilikuwaje chama kikampindua? II

Joseph Mihangwa

KATIKA sehemu ya kwanza ya makala haya, tuliona namna Chama cha Mapinduzi (CCM) kilichoshika hatamu zote za uongozi wa nchi wakati huo, kilivyoweza kumpindua Rais wa Serikali ya Awa

Kwa nini Nyerere anawatia woga watawala wetu

Jenerali Ulimwengu

JUMA lililopita lilikuwa ni juma la kumkumbuka Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na watu wengi walishiriki katika makongamano mbalimbali yaliyoandaliwa minajili ya shughuli hiyo.

Oscar Kambona: Upande wa pili wa shilingi II

Maggid Mjengwa

KUNA wakati nilimsikia  Hamad Rashid akitoa hoja bungeni. Wakati huo mbunge huyo wa CUF alikuwa kiongozi wa Upinzani bungeni.

Nyerere nabii wa kisiasa

Florian Kaiza

MCHAKATO wa kumtangaza mwenye heri Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, ulioanzishwa na Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es salaam, una kila dalili za kutekelezwa kwa hiyo basi inahita

Lipumba: Tumkumbuke Mwalimu Nyerere Siku ya Kuzaliwa

Mwandishi Wetu

MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba anasema kwamba inasikitisha kwamba taifa limeshindwa kumuenzi Mwalimu Nyerere kupiga vita rushwa, uozo ambao alisimama kidete kuupi

Pages

Subscribe to Nyerere