Rostam

Lowassa, Rostam waandaa uasi CCM

Waandishi Wetu

UAMUZI wa Halmashauri Kuu (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kujivua gamba umekuwa ukipiganiwa na uongozi mpya wa chama hicho, akiwamo Wilson Mukama, Katibu Mkuu mpya huku taarifa zikisema kuna

Slaa afufua upya ufisadi

Mwandishi Wetu

WAKATI wafadhili wakikabidhiwa ripoti inayoonyesha bado Tanzania kuna ufisadi, Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk.

Nchi sasa inayumba

Mwandishi Wetu

CHAMA cha Mapinduzi (CCM) na Serikali zake vinasukwasukwa kiasi kwamba kuna hofu kwamba kama hali haitabadilika nchi itafika pabaya, imeelezwa.

Rostam, Lowassa wakatwa miguu

Waandishi Wetu

UNAWEZA kusema kwamba huu ni mwisho wa zama kwa Edward Lowassa, Rostam Aziz na Andrew Chenge ambao, juzi Jumatatu, chama chao kiliwatosa kwa kuwapa siku 90 kujiondoa katika nafasi walizonazo kwa

Rostam achukua nafasi ya Lowassa

Mwandishi Wetu

MBUNGE wa Igunga, Rostam Aziz, ametajwa kuchukua nafasi ya Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa, katika kuongoza kundi linalopingana na la Spika na Mbunge wa Urambo Mashariki, Samuel Sitta, wote w

Waziri Mkuu: Rostam Aziz alianzaje ubunge?

Godfrey Dilunga

MIZENGO Pinda, Waziri Mkuu wa Tanzania anahitaji kushauriwa kama si kurekebishwa. Bila shaka ‘mfumo’ wake wa kujenga hoja umepata hitilafu.

Rostam, ni ruksa Kanisa kutuhumu, kukemea maovu

Joseph Mihangwa

“WAMEIPONYA jeraha ya binti za watu wangu kwa juu juu tu, wakisema, Amani Amani; wala hapana Amani” (Yeremia 8:11).

Rostam, Sitta waigawa CCM

Mwandishi Wetu

WENYEWE hawataki kukiri ukweli huu, lakini sasa ni dhahiri kwamba ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kuna mapande makubwa mawili; moja likiwa na nguvu bungeni na jingine ndani ya chama, Raia Mwe

Rostam amemwaga bakuli la vyambo

Maggid Mjengwa

KWA tuliopata kuvua samaki kwa mshipi na ndoano tunaelewa inakuwaje inapotokea ukamwaga kwenye maji ya matope bakuli lililojaa vyambo vyako vya kuvulia samaki.

TRA, kweli hawa mabilionea wetu?

Godfrey Dilunga
WAKATI nasoma habari kuhusu matajiri watano mashuhuri nchini, ambao ni wafanyabiashara, Said Bakhressa, Gulam Dewji, Rostam Aziz, Reginald Mengi na Ali Mufuruki, nilikumbuka hotuba ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, alipotaja orodha ya kampuni zinazong’ara katika ulipaji kodi serikalini nchini.

Pages

Subscribe to Rostam