Simba

Upofu wa Yanga na Simba neema kwa wafadhili njaa

Godfrey Dilunga

WIKI iliyopita niliahidi kuchambua namna klabu kubwa nchini zinavyotumika kujenga majina ya watu kwa ‘taji’ la mfadhili lakini kwa maslahi kiduchu, nitafanya hivyo leo.

Simba na Basena: Sheria inapogeuka punda kihongwe!

Chesi Mpilipili

WAINGEREZA wana msemo: the law is an ass, wanaoutumia hasa pale sheria moja inapoweza kutumiwa kuamua masuala mawili tofauti kabisa kwa kutegemea tu uwezo wa hakimu ama wakili wa kunyumbulisha sher

Yanga na Simba: Bado ni yale yale ya miaka nenda rudi

Chesi Mpilipili

TUMESIKIA, kuona na kuambiwa kuhusu yote yanayopaswa kusikiwa, kuonwa na kuambiwa kuhusu mpambano wa watani wa jadi wa Yanga na Simba uliofanyika  Jumamosi ya Machi 5 mwaka huu.

Kwa nini Simba imeitoa Kiyovu?

Ezekiel Kamwaga

KATIKA usajili wa Simba msimu huu, wachezaji wawili wamenunuliwa kwa bei mbaya zaidi– Mwinyi Kazimoto na Felix Mumba Sunzu.

Simba wapewe milioni 100 zao

Chesi Mpilipili

SAA chache kabla ya Simba kupambana na mabingwa wa Afrika, TP Mazembe kwenye Uwanja wa Stade de Kenya mjini Lumbumbashi, kundi la ‘Marafiki wa Simba’ lilitoa ahadi ya kuwazadia wach

Tunamzomea Bocco kwa faida ya nani?

Ezekiel Kamwaga

KATIKA mechi 18 alizoanza msimu huu, mshambuliaji wa Azam FC, John ‘Adebayor’ Bocco, amepachika wavuni mabao 15 katika Ligi Kuu ya Tanzania.

Nini kiliikumba Simba Sudan?

Ezekiel Kamwaga
Kikosi cha Simba baada ya kufungwa
Simba ilifanya mazoezi siku moja tu nchini Sudan, yaani siku moja tu kabla ya mechi yenyewe

Uzi huo huo Simba, Yanga ikaze buti

Francis Chirwa

SIMBA ya Dar es Salaam imeanza vyema michuano ya awali ya soka ya hatua ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa wa Afrika kwa kuichabanga Awassa ya Ethiopia kwa mabao 3-0.

Ukali wa Enyimba umeitoa Simba

Mwandishi Wetu

TIMU ya soka ya Simba ambayo ina rekodi ya kujitahidi kuchacharika zaidi katika mashindano ya Shirikisho la Soka la Afrika (CAF), ilitolewa katika kinyang'anyiro cha klabu bingwa barani humu sa

Fedha za Odhiambo alikula nani Simba?

Francis Chirwa

KATIBU Mkuu wa klabu ya soka ya Simba aliyekuwa amesimamishwa, Mwina Kaduguda  amerudishwa kwenye uongozi wa klabu hiyo na Mkutano Mkuu wa wanachama uliofanyika hivi karibuni mjini Dar es Salaam.

Pages

Subscribe to Simba