WATU wanafikiri kwamba kwa kuwa sasa tumepata uhuru, jua la uhuru litatuwakia, na kwamba utajiri sasa utashuka toka mbinguni kama manna. Ngojeni niwaambie: Hakuna kitakachoshuka kutoka mbinguni. Ni lazima tuchape kazi kwa mikono yetu kupambana na umasikini, ujinga na maradhi