TANESCO

Vigogo waipeleka TANESCO kitanzini

Mwandishi Wetu

HUKU Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) likiwa linakabiliwa na hali mbaya ya kifedha, imebainika kuwa kuna mpango mahususi wa kuliangamiza shirika hilo unaofanywa na baadhi ya watendaji serikal

Bosi wa TANESCO hatihati

Mwandishi Wetu
Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa TANESCO, William Mhando
BODI ya Wakurugenzi ya TANESCO imegawanyika kuhusu uamuzi wa kumng’oa rasmi aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa shirika hilo, William Mhando

Umeme balaa jipya

Waandishi Wetu

HALI ya uzalishaji umeme nchini ni mbaya. Kiwango cha maji kwa ajili ya kuzalisha umeme kwas asa kina ukomo wa miezi miwili tu kama mvua za

Akaunti ya kigogo TANESCO yazuiwa

Waandishi Wetu
Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, William Mhando
Imekutwa na fedha zaidi ya shilingi bilioni moja na sasa inadaiwa kuzuiwa na vyombo vya dola kwa baraka za mamlaka za juu

Bosi wa TANESCO amtetea mkewe

Mwandishi Wetu
Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO (aliyesimamishwa), William Mhando
Kampuni ya mkewe, Santa Clara Supplies inadaiwa kupewa mkataba wa Sh. 884,550,000 na TANESCO kwa ajili ya kusambaza vifaa vya ofisi

Tunajifunza nini madudu ya TANESCO?

Maggid Mjengwa
MNAPOIZUNGUMZIA TANESCO msichukue the short history chukua long history…. hili ni shirika ambalo lilianzishwa mwaka 1930 wakati huo yalikuwa ni makampuni (sahihi ni neno kampuni) mawili ambayo yaliungana pamoja

Ni wakati wa Bunge kujitathini

Mwandishi Wetu
Wiki hii, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utouh, ametangaza ofisi yake kuanza uchunguzi wa tuhuma za ubadhirifu na ufisadi ndani ya Shirika la Umeme (TANESCO) kama zilivyoibuliwa bungeni na kwingineko

Hii ni Made in Tanzania tu!

Mwandishi Wetu

JOHN Nolan, yule raia wa Ireland aliyejaribu kuighilibu Serikali ya Tanzania imruhusu aanzishe mashamba ya kamba (prawns) ambayo yangeiharibu kabisa Delta ya Rufiji, alipata kuliambia gaze

Umeme bado kizazaa

Waandishi Wetu

HALI ya umeme bado haitii matumaini sana huku viongozi wa Serikali na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) wakihaha kutafuta njia ya kupunguza makali na athari za hali hiyo, Raia Mwema

Pages

Subscribe to TANESCO