TUCTA

Mgomo tishio kwa Kikwete

Mwandishi Wetu

MGOMO wa wafanyakazi nchini ambao unaelekea kuungwa mkono na sehemu kubwa ya vyama vya wafanyakazi nchini, umeelezwa kuwa tishio kubwa kwa Serikali ya Rais Jakaya Kikwete kuelekea Uchaguzi Mkuu

Rais kadanganywa

Mwandishi Wetu

MIEZI michache kabla ya Uchaguzi Mkuu, Rais Jakaya Kikwete ameingia katika mgogoro mkubwa na wafanyakazi wanaodai amedanganywa na wasaidizi wake kwa kutumia baadhi ya taarifa zisizo sahihi katik

Vitisho vyatumika kuidhibiti TUCTA

Waandishi Wetu

SERIKALI haikujiandaa kupata wafanyakazi mbadala kama wafanyakazi wa sasa wangeshiriki mgomo uliotishwa na Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA) na wakafukuzwa kama ambavyo Rais Jakaya Kik

Tunaweza kuahirisha mgomo huu lakini…

John Bwire
TUMESIKIA pande zote zinazohusika katika maandalizi au katika kupinga kusudio la Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) la kuitisha mgomo wa wafanyakazi wote nchini mwezi ujao

Mgomo si haramu, lakini wakati si muafaka

Maggid Mjengwa

WAKATI akiwa madarakani kama Rais wa Afrika Kusini, kuna siku gari la kubebea wagonjwa lilionekana likiingia Ikulu ya Mzee Nelson Mandela.

Kikwete awaombe radhi wafanyakazi

Lula wa Ndali Mwananzela

KAMA kuna wakati nimesikia raha kumsikiliza Rais Kikwete ni katika mkutano wake wa juzi na wazee wa CCM wa jiji la Dar.

Mishahara kitendawili

Mwandishi Wetu

WAKATI Rais Jakaya Kikwete akiahidi nyongeza ya mishahara hususan kima cha chini, Raia Mwema imebaini kuwa hakuna mpaka sasa maafikiano ya kiwango halisi cha kima kipya kati ya

Mgaya wa TUCTA amtega Kikwete

Mwandishi Wetu

SHIRIKISHO la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), limeanza mchakato utakaohusisha wasomi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na Chuo Kikuu Mzumbe kutafiti uwezo wa kiuchumi nchini kama unamudu k

Mgomo wa TUCTA: Panapofuka moshi pana moto!

Joseph Mihangwa

MEI 3, 2010 Taifa lilishuhudia moja ya hotuba chache za mhemuko na mchomo  wa moyo (emotional speech) zilizowahi kutolewa na rais wa nchi kulaani na kuhukumu viongozi wa taasisi ya kitaifa

TUCTA yaweka imani kwa waziri mpya Gaudentia Kabaka

Francis Chirwa

WIKI  hii  Taifa linaadhimisha miaka 49 ya uhuru wa Tanganyika baada ya harakati za kunyakua uhuru huo zilizoongozwa na Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere kuhitimishwa Desemba 9, 1961.

Pages

Subscribe to TUCTA