UNAFAHAMU ni kitu gani nimejifunza na kilichonishangaza kuliko vyote maishani? Ni kushindwa kwa matumizi ya nguvu kukupatia kitu chochote endelevu ambacho ni kizuri. Nimegundua kwamba, mwisho wa yote, hata upanga husalimu amri kwa ukweli. Hakika, ukweli ni zaidi ya upanga