Warioba

Warioba, kafara EPA kushitakiwa

Waandishi Wetu

KUNA uwezekano mkubwa  kwamba Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba akaingizwa matatani kutokana na uchunguzi unaofanyika ndani ya kampuni ya uchimbaji dhahabu ya Mwananchi Gold, Raia Mwema i

Warioba, Dk. Salim watumika CHADEMA

Godfrey Dilunga
Jaji Warioba na Salim Ahmed Salim
MAWAZIRI Wakuu wa zamani Warioba na Salim, ndio "viungo" wa mazungumzo kati ya CHADEMA na Rais Kikwete kuhusu Katiba mpya

Udini ni ulaji wa wakubwa – Warioba

Waandishi Wetu

WAZIRI Mkuu wa zamani, Jaji Joseph Warioba amesema udini unaotajwa kuwapo nchini, hasa baada ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, umo miongoni mwa viongozi si wananchi wa kawaida.

Huu ni upuuzi asema Jaji Warioba

Mwandishi Wetu

WAZIRI Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba amezungumzia taarifa za kwamba anatakiwa kukamatwa na kufikishwa mahakamani kwa tuhuma za ufisadi akiziita taarifa hizo kuwa za kipuuzi zenye malengo maa

Mafisadi wa EPA ni wezi - Warioba

Mwandishi Wetu

KATIKA kauli ambazo zitawashitua watawala, Waziri Mkuu wa zamani, Jaji Joseph Warioba, amesema nchi ina viongozi dhaifu, umma unanyonywa, rushwa imeongezeka, wezi wa fedha za EPA waanikwe na Rai

Jaji Warioba: Tusidanganyane, kutaka Serikali tatu ni kuvunja Muungano

Mwandishi Wetu

OKTOBA 10, mwaka huu, Waandishi Wetu, walifanya mahojiano na Waziri Mkuu wa zamani, Jaji Joseph Warioba, kuhusu masuala mbalimbali, ikiwamo maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru

Jaji Warioba: Wananchi, watendaji wausome mwongozo, wauzingatie

Mwandishi Wetu
BAADA ya kukamilisha kazi ya kukusanya maoni ya wananchi na makundi mbalimbali kuhusu Katiba Mpya, Tume ya Mabadiliko ya Katiba imeanza uchambuzi wa maoni hayo ili kuandaa rasimu ya Katiba itakayowasilishwa katika mikutano ya Mabaraza ya Katiba

Warioba: Msekwa nakuheshimu…

Mwandishi Wetu

MWANASIASA mkongwe, Jaji Joseph Warioba anamheshimu sana Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi, Pius Msekwa kiasi kwamba hawezi kubishana naye kwenye vyombo vya habari.

Warioba: Imeibua ya enzi za mkoloni

Mwandishi Wetu

MWANASIASA na mwanasheria mkongwe, Jaji Joseph Warioba, amesema uamuzi wa Mahakama ya Rufaa kuhusiana na suala la mgombea huru linakumbusha historia ya mkoloni kabla ya uhuru.

Warioba: Tusiwahadae wananchi, hali ya uchumi mbaya

Mwandishi Wetu
Jaji Joseph Warioba
Jaji Joseph Warioba atoa maoni yake juu ya mwenendo wa nchi katika mwaka uliokwisha wa 2011 na matarajio ya mwaka mpya wa 2012

Pages

Subscribe to Warioba